Naomba kuuliza kuna mdau anaifahamu account ya betsolutions ya telegram, huyo jamaa ana group lake la odds 2-3 kila siku na anatoza gharama ya mwezi mzima na nusu mwezi yaani siku 15, shauku yangu nataka kufahamu kuna ukwelii au ni mbinu ya kutaka kuwapiga watu ninafikili kujiunga kule maana...
Umeongea kitu muhimu sana wahusika wanatakiwa walifanyie kazi ni uwazi usiopingika inakuwaje Mkuu wa Idara akiharibu sehemu moja anahamishiwa sehemu nyingine?
Swali la kujiuliza huko anakohamishiwa Wananchi wanahitaji huduma mbovu kutoka kwa huyo Mtumishi aliyehamishiwa eneo hilo kutoka huko...
Mkubalie kisha kuwa busy na mambo yako usioneshe kama hilo jambo limekuudhi jikaze ajue uko normal kumbe unaugulia ndani kwa ndani ataludi mwenyewe, ila inahitaji roho ngumu sanaaa
Nimeajiliwa halmashauri moja hapa nchini kama mwalimu, ndio maana nikaomba msaada wa mawazo kwa ndugu zangu katika hizo kozii nifahamu abc zake lakini nihusishe na mawazo yangu na ndoto zangu ni kipi nakitaka katika maisha ya utumishi hakuna anayefanikiwa kwa kujisimamia na kutegemea mawazo yake...
Kwa mawazo haya, wazee wako walileta kiumbe mwenye akili sana duniani, hata uzao wako utakuwa umebarikiwa sana nakuombea kwa mungu uendelee na moyo huo huo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.