Kozi ipi inanifaa? Bachelor Degree in Human Resource, Marketing, Accounting and Finance au Procurement and Supply Management

jahtera

Senior Member
Mar 27, 2020
115
232
Habarini wakuu, kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, ndugu yenu nimekuja mbele ya jukwaa hili nipate dondoo mbili tatu kuhusiana na kipi nisome katika kozi zifuatazo.

Bachelor degree in Human Resource, Markerting, Accounting and fianance na mwisho Procument and supply management.

Mwisho, Mimi ni mtumishi wa serikali, nimeajiliwa yapata miaka kumi na mbili iliyopita. Mwaka huu nimepata ruhusa ya kwenda masomoni naombeni wakubwa zangu mlionitangulia katika utumishi na ambao sio watumishi mshare na mimi idea zenu nazihitaji sana.
 
Habarini wakuu, kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, ndugu yenu nimekuja mbele ya jukwaa hili nipate dondoo mbili tatu kuhusiana na kipi nisome katika kozi zifuatazo...
Katika hiyo 12yrs ya utumishi, unadhani nini ukisoma kitaongeza thamani katika ajira yako na wewe kwa ujumla. Miaka 12 kazini sidhani kama ulitakiwa kuuliza swali la namna hii.
 
Yaani Nchi hii, bado kuna Mazuzu sijapata Ona,
Yaani Limtu lina Miaka.12 kazini, na Halina Future???
Ama kweli, Serikali Endeleeni KULA KURA na Kodi kama za Hawa Mazembwelaaa
Asante mkuu, mungu akubariki sana sikupenda kuwa zuzu kama ulivyoniita, aliyekupa akili ndiye aliyeninyima hizo akili ndio maana leo umewaza kuuona uzuzu wangu.
 
Katika hiyo 12yrs ya utumishi, unadhani nini ukisoma kitaongeza thamani katika ajira yako na wewe kwa ujumla. Miaka 12 kazini sidhani kama ulitakiwa kuuliza swali la namna hii.
Asante kwa ushauri mkuu, kwa ufupi labda nilikosea kuuliza swali lakini tageti yangu nilitamani nipate mawazo ya greater thinker hapa kwa uwanda mpanda kwenye fani zote nilizouliza kuliko kama ningeenda moja kwa moja nataka nini.

Binafsi napenda accounting and fianance ningetamani niwe mkaguzi wa mahesabu wa ndani.
 
Asante kwa ushauri mkuu, kwa ufupi labda nilikosea kuuliza swali lakini tageti yangu nilitamani nipate mawazo ya greater thinker hapa kwa uwanda mpanda kwenye fani zote nilizouliza kuliko kama ningeenda moja kwa moja nataka nini.

Binafsi napenda accounting and fianance ningetamani niwe mkaguzi wa mahesabu wa ndani.
Umeajiriwa idara Gani ...kama unataka kuwa mkaguzi wa mahesabu..soma accounting and finance kwenye vyuo vinavyofundisha mtaala wa CPA au ACCA ..Kwa sababu sifa ya mkaguzi wa ndani lazima pia awe na cheti Cha CPA ..
 
Lakin kama upo halmashauri ni vyema pia ukasoma human resources management uje uwe afisa utumish
Nimeajiliwa halmashauri moja hapa nchini kama mwalimu, ndio maana nikaomba msaada wa mawazo kwa ndugu zangu katika hizo kozii nifahamu abc zake lakini nihusishe na mawazo yangu na ndoto zangu ni kipi nakitaka katika maisha ya utumishi hakuna anayefanikiwa kwa kujisimamia na kutegemea mawazo yake mwenyewe.
 
Habari, mimi n mwanafunz wa diploma ya biotechnology nilikuwa nahitaj kubadili course bachelor je kuna course yoyote ya afya nnaweza kusoma kwa bachelor? Naomba msaada
 
Back
Top Bottom