Recent content by Jahman85

  1. Jahman85

    Watu walewale kuongoza CHADEMA wataleta mabadiliko?

    Very true na ndio maana Tanzania kuwa donor country chini ya chama cha mafisi ni ndoto tena ya mchana kweupeee...!!
  2. Jahman85

    Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

    Kifuatacho ni TWA TWA TWA ....
  3. Jahman85

    CCM ilivyoitia nuksi Bongo Movie

    Ukitaka jamaa wafe na pressure waambie ishu ya tume huru, ghafla wanaanza kulamba malimao..
  4. Jahman85

    Mkuu wa Serikali ya wanafunzi (DARUSO) na wenzake, wasimamishwa masomo kwa muda usiojulikana

    Hahahahahaha ni zaidi ya kituko dona kantriii kushindwa hata kuwapa mikopo wanafunzi wa elimu ya juuu, nahisi walimaanisha dona kantiriiii na sio donor country..
  5. Jahman85

    Zitto Kabwe: Serikali ya awamu ya 5 acheni ushamba

    Kipi cha uwongo hapo..??
  6. Jahman85

    Serikali izibane hotel zote za kulala Tanzania zinaibia wateja

    Okee na ukiingia SAA 7au 8 usiku inakuwaje..??
  7. Jahman85

    Upepo wa Tundu Lissu 2020, Utakuwa mkali sana!

    Hamna kiumbe ccm wanamuogopa kama Lissu hapa tuu wanatoka povu kama foma gold je, akitangaza kugombea? Hakika kuna watu watajaza kinyesi kwenye suruali kama gunia la mkaa hahahahahaahahah
  8. Jahman85

    Tanzania ni nchi ya hovyo

    Malezi mabaya haya tangu ukiwa mtoto, usamehewe bure
  9. Jahman85

    Tuliotembea umbali mrefu kwa miguu kwa sababu yoyote ile tukutane hapa

    Kwa Dar ni kutoka Fire hadi kwenye kivuko cha kigs' Kwa chugastan ni kutoka Kinana Sec hadi Moyo Safi Catholic Church..almost 15 km
  10. Jahman85

    Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

    Mimi ni mgeni hapa Dar nipo Tbt/Segerea, kuna chocho linaitwa 40-40 tamu kis..ge, halafu kwa nyuma kuna nyama yetu pendwa..Mepapenda bureeeeeeee
  11. Jahman85

    Abiria wa mabasi ya mikoani hasa Dar es Salaam, Iringa, Mbeya na Tunduma ni kama wafungwa

    Tupende kujipanga kusafiri na luxury choo ndani for short call, raha kinyama unayumba tuu huku unakojoa, ila usiombe yatokee ya kutokea ukiwa chooni..siombei.
  12. Jahman85

    Abiria wa mabasi ya mikoani hasa Dar es Salaam, Iringa, Mbeya na Tunduma ni kama wafungwa

    Very true hawa jamaa hadi raha nusu saa kula, nlisafiri nao wiki imepita, halafu hotel yao imekaa fureshiiii hasa pale counter ya vinywaji unaweza sahau kama unasafiri, hahahahaahahah
  13. Jahman85

    Mazungumzo ya Prof. Kabudi na Balozi wa Canada katika picha. Ni muoga sana Kabudi

    Daaah Balozi ame"concentrate" kumsikiliza yeye akili zimehamia chini kaitupia jicho ile 4 na guu jeupeeee hahahahahaha, Prof wetu ameyumba sana....kwa hiyo distraction mhhhh halafu kaingia mkenge..
  14. Jahman85

    Mazungumzo ya Prof. Kabudi na Balozi wa Canada katika picha. Ni muoga sana Kabudi

    Daaah Balozi ame"concentrate" kumsikiliza yeye akili zimehamia chini kaitupia jicho ile 4 na guu jeupeeee hahahahahaha, Prof wetu ameyumba sana....
  15. Jahman85

    Watizame wanaojiita vijana wa KKKT wanaomuonya Munga asijiingize kwenye siasa, ila wayamuonyi Pengo asijiingize kwenye siasa. Utajua wanatumwa na nani

    Mhhhhhh unafiki tuu na akili za tumboni ndio umewajaa, inaonyesha viongozi wanaomsifia na kumtetea namba 1 wanakubalika na watu wote ila wanaokemea basi lazima walamba miguu watajitokeza tuu kujipendekeza kwa kutoka matamko kama vile wamejaza vinyesi kichwani, mbona akisifiwa hamjitokezi na hayo...
Back
Top Bottom