hizo nimbio za vjiti haina loo kwani mlikuahamuwaoni sikuzote?ndo mnakumbuka shuka asubuh kumekucha msitudangenye mshindwe kwa jina la M4C.hatudanganjiki tena sikuhz tunawahikubalehe msitupumbavushe hapa hatuna iman na tawala
ningependa kukishauri chama chetu kitukufu cha CHADEMA
kitoe msamaha kwa viongozi wetu kwani mudahuu wamalumbano ndo maadui zetu wanapata nafasi ya kutudhibiti mngakaa chini na kurekebishana tofauti zilizojitokeza nakuendelea na mambo muhmu ya kujenga chamachetu tuache malumbana kwan na wao...
jaman ndugu zanguni mimi ndo mara ya kwanza kuomba ushauri wangu katika jukwaa hili.
Nilikua naomba mnisaidie kwa hili ninampenzi wangu na ninampenda na yeye anadai eti ananipenda lakini hata miezi 10 inaweza ikapita bilahata kufanya mapenzi na yeye. Na nikimgusia tu kuhusu jambo hilo anagoma...
Baada ya watu wengi kutoa shuhuda zao za kuponeshwa Sukari, presha,ngiri na mazindiko ya mji na Dr Alhaji toka mkoani Tanga na kwa Maombi ya wakazi wa Mwanza sasa yupo hapa jijini wasiliana naye 0787625719.
Mimi ni kijana wa kitanzania nina umri sawa na wote.Nimzaliwa wa Kilimanjaro natafuta marafiki tofauti tofauti wa kuchati nao.nitafute kwa namba:0763775496.kwa mawasliano zaidi karibuni tu jumuike.
Kijana mmoja mwenye umri kati ya miaka 15-18 auwawa kikatili katika kijiji kidogo cha Mwaburugu kata ya Lamadi katika mkoa mpya wa Simiyu.
Mashuhuda wakaribu wanasema kijana huyo na wenzake waliofanikiwa kukimbia walivamia na kuvunja duka la mfanyabiashara mmoja wa kijijini hapa na kutaka...
Habarini wana JF.
Naomba kwa wanaofahamu freemason vizuri wanijuze. Katika fikra zangu ninafahamu ni mtandao wa siri .
Mawazo yangu yalibadilika ghafla baada ya kupita katika mji mdogo wa Lamadi wilayani Magu nakukuta matangazo kila kona yaliyoandikwa hivi.
FREEMASONS kwa anayehitaji kujiunga...
Mimi ni kijana mstaarabu mwenye umri usiozidi miaka 25 .leo hii kwa mara ya kwanza najitokeza kwenye jukwaa hizi kutafuta mchumba .kwa upande wa kazi mimi ni mjasiriamali toka mkoa wa Kilimanjaro . Awe na umri wa miaka 22 kurudi nyuma kwa mawasiliano 0763775496 ahsanteni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.