..Mawaziri saba watoswa.....

..Mawaziri saba watoswa.....

Sasa wametoswaaa au imeshauriwa watoswe? haya mambo ya kukurupuka na kuja na habari kubwaaa kumbe hakuna kitu hupunguza hazi za media na mtoa mada. watoswe wasitoswe bado 2015 kazi ipo palepale.
 
Nape ni moja ya viongozi wa ccm wanaofanya kazi kama upepo kufuata bendera,wizara ya kilimo matatizo yake si ya kuyaongelea majukwaani,ni swala la serikali kuipa wizara pesa ili iweze kusimamia kile ilichokipanga na si kazi ya waziri kwenda hazina na kuomba pesa ambazo zilishwa pitishwa bungeni.Ninani aliyebinafsisha viwanda vya korosho? tulikuwa na viwanda vingi vya korosho vilivyokuwa vikiongeza dhamani ya zao hilo,kilichotokea ni kwamba,wamepeana viwanda na kuviuwa,ili tu waweze kuinunua korosho ambayo haijaongezwa ubora na kwenda kuiuza kwa bei kubwa,hapa wao wanaangalia faida yao binafsi na si wakulima.Nape alitakiwa kuitaka serikali na si waziri,kuwekeza pesa ktk ujenzi wa viwanda vya kuongeza dhamani ya korosho,na kuwataka wale wote wanaowakopa wakulima korosho kuwalipa pesa zao kwa wakati.kwani kun a watu hawajakopa pesa bank,lakini wamewalipa wakulima wa korosho pesa yao yote na wale waliokopa pesa bank,mpaka sasa hawajawalipa wakulima salio lililobaki.Nape-wizara ya kilimo inahitaji pesa ili mambo yaende,na si propaganda za siasa.
 
Naisi,veri gudi,wachunguzwe ikabainika madai ni ya kweli wawajibishe. CCM ndio mkombozi wa watanzania haina budi kuwasaidia watanzania. CCM IZI THE GAVAMENTI OF PIPO, FO THA PIPO ENDI BAI THA PIPO(Abraham Lincolin).
duh...hili ni garasa mkuu!
 
Naisi,veri gudi,wachunguzwe ikabainika madai ni ya kweli wawajibishe. CCM ndio mkombozi wa watanzania haina budi kuwasaidia watanzania. CCM IZI THE GAVAMENTI OF PIPO, FO THA PIPO ENDI BAI THA PIPO(Abraham Lincolin).

Unahisi? Mbona chadema kumtimua zzk kwenu ni tatizo vip kwa ccm kufukuza inakuwa uwajibikaji? Achen propanga na upotoshaji pale chadema inapowajibisha wazembe na wanaokiuka taratibu.

Chadema wakifanya haram! Yaleyale yakifanywa na ccm halali ni kweli huwa mnafikiri vema kabla ya kuponda, kukashifu kwa cdm na kusifia na kuhalalisha yaleyale kwa ccm? Kuweni wazalendo badala ya kutumika ovyo kuwapigia debe mafisadi Taifa likiteketea.
 
Ha ha ha. Badala ya kuanza na rais mzigo wanakimbilia mawaziri. Mti wote hauzai unalaumu baadhi ya matawi. Mkubwa akijamba ........
 
Lakuvunda halina ubani. mwenyewe alie wateua anaridhika na utendaji wao na ndo maana hakuwafukuza. taabu ya ccm vyeo vya kupeana ni jadi
 
CCM haina mamlaka kiprotokali kuwahoji mawaziri. CCM ilimpa ridhaa ya kupeperusha bendera ya chama raisi. Sio kazi ya ccm kuwahoji wasaidizi wa raisi bali walitakiwa wamhoji raisi mwenyewe kwani ndiye wana mamlaka naye...
 
Ccm nzima inapaswa kuondoka,
hao mawaziri ni kafara isiyo faa,
Mola ibariki Tanzania,Ibariki Cdm
 
Nape ni moja ya viongozi wa ccm wanaofanya kazi kama upepo kufuata bendera,wizara ya kilimo matatizo yake si ya kuyaongelea majukwaani,ni swala la serikali kuipa wizara pesa ili iweze kusimamia kile ilichokipanga na si kazi ya waziri kwenda hazina na kuomba pesa ambazo zilishwa pitishwa bungeni.Ninani aliyebinafsisha viwanda vya korosho? tulikuwa na viwanda vingi vya korosho vilivyokuwa vikiongeza dhamani ya zao hilo,kilichotokea ni kwamba,wamepeana viwanda na kuviuwa,ili tu waweze kuinunua korosho ambayo haijaongezwa ubora na kwenda kuiuza kwa bei kubwa,hapa wao wanaangalia faida yao binafsi na si wakulima.Nape alitakiwa kuitaka serikali na si waziri,kuwekeza pesa ktk ujenzi wa viwanda vya kuongeza dhamani ya korosho,na kuwataka wale wote wanaowakopa wakulima korosho kuwalipa pesa zao kwa wakati.kwani kun a watu hawajakopa pesa bank,lakini wamewalipa wakulima wa korosho pesa yao yote na wale waliokopa pesa bank,mpaka sasa hawajawalipa wakulima salio lililobaki.Nape-wizara ya kilimo inahitaji pesa ili mambo yaende,na si propaganda za siasa.

kweli kaka mpaka sasa hivi tuna post idara ya irrigation haijapewa hata thumuni.nape anabadilisha kocha wakati timu mbovu
 
Rais aache uswahiba sasa arejeshe matumaini kwa wananchi
 
Aache visingizio vya kujaza watu wa dini moja ktk executive branch. sasa hata waziri mkuu atakuwa wa dini yake. hiyo yote janja na danganya toto. Ukitaka kuamini, mh Malima atapona na sekeseke hili.
 
Kilichochoka ni chama na sio mawaziri

Toka mwanzo wa Thread hii nilikuwa natafuta neno kama hili, ukweli Mawaziri hawajashindwa kazi bali ni chama chao ndicho chenye matatizo, hata wampe uwaziri Mheshimiwa Kibajaj kama chama kina misingi bora atafanya kazi nzuri tu na ataacha upuuuzi wake wote huko Mtera kwani atajua one mistake atakuwa out of system, kama tungeweza kujua hao mawaziri walijitetea nini basi naamini matatizo yatakuwa ni ya chama na sio wao bali watatolewa kafara..(Bangusile?) kama vilevile alivyotolewa Mheshimiwa Msabaha kwa kubeba zigo la misumari la Lowassa...

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/42570-lowassa-msabaha-hapatoshi-print.html
 

...

...Mkuu Maarko magamba hewa tuuu!!!


.

hizo nimbio za vjiti haina loo kwani mlikuahamuwaoni sikuzote?ndo mnakumbuka shuka asubuh kumekucha msitudangenye mshindwe kwa jina la M4C.hatudanganjiki tena sikuhz tunawahikubalehe msitupumbavushe hapa hatuna iman na tawala
 
Sitaki kuamini kuwa JK ataenda against chama ambacho yeye ni mwenyekiti wake: In fact CCM wakifeli ktk mpango huu walionzisha, wakuwapiga chini mawaziri mizigo, watazidi kupoteza imani kwa watanzania. Huyu kawambwa cjui ana ushawishi gani kwa Mr. President au ni swahiba tuu?

Kwakuwa ameshndwa atamtoa tu. ccm wao wamenawa
 
attachment.php
BAVICHA AT WORK IN JF
 
Back
Top Bottom