Mmh kwa jinsi naifaham biology ya A-level hyo combonation itakuwa tata kama pgm vile. Lakin kwny market chuoni utakuwa na uwanja mpana sana wa kupata vyuo na kozi mbali mbali kama pharmacy, forestry, MBB molecular biology and biotechnology, Microbiology, aquaculture, agronomy na kozi nyingi...