Recent content by JADA

  1. J

    Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

    Na sasa hivi anakaa jukwaa moja na lowasa. Ukiuliza anasema kama mna ushahidi nenden mahakamani, sasa tutaenda mahakamani sisi tulioambiwa na wewe juu ya hayo? ww kubenea ndio wa kutangulia mahakamani na ushahid uliokuwa unatuaminisha unao hata tukamchukia mamvi wa watu. Go Magufuli Go... we...
  2. J

    Ukiona mwanaume analia ujue kaguswa pabaya

    Hizo BP hizo buuuuure mkuu. Kama unaweza kumdhibiti ukaoa oa tu then mpige pin kw huyo basha wake mwngine. Kama unajua huwez kumpiga pin basi jisogeze pembeni tu
  3. J

    Mazishi ya clouds fm facebook page

    Kama ni kweli aliyoyasema Jide anaconda, basi na wao Clouds hawana budi kuchukiwa na wananchi coz wana roho mbaya sana. Walikuwa a bifu na SUGU hawakupga hata wimbo wake wala kumtaja. Hadi radio clouds fm mbeya haikuwa inasikika zaid ya miaka miwili. Walipomaliza tofauti zao ndo imerudi clouds...
  4. J

    Mkurugenzi wa Jiji la Mbeya Juma Idd apoteza wadhifa wake

    Mbeya si pana.chadema kw hyo hawawez kumpa favour huyu jamaa
  5. J

    Millard Ayo apata zali la uripota DSTV

    Aisee dogo anapiga hatua sana. Mungu amjalie kujituma na kuwa mwaminifu katika kazi yake. Atafanikiwa zaidi na zaidi.
  6. J

    Combinatiom mpya A'level

    Mmh kwa jinsi naifaham biology ya A-level hyo combonation itakuwa tata kama pgm vile. Lakin kwny market chuoni utakuwa na uwanja mpana sana wa kupata vyuo na kozi mbali mbali kama pharmacy, forestry, MBB molecular biology and biotechnology, Microbiology, aquaculture, agronomy na kozi nyingi...
  7. J

    Chuo Kikuu cha Sokoine Morogoro, Hostel ni tatizo!

    hahahaaaa mambo madogo sana hayo...... ungesema walimu hawatoshi tungekuona wa maana sana mjomba.... kalale hata juu ya mti ila lecture hakikisha una attend na test zao zote uanfanya hahahaaaaa itakula kwako
  8. J

    Higher Learning Students Supporting Fund ni mali ya nani?

    hivi ni kweli wanatoa mokoopo kwa wanafunzi na kama ndio natamani wapewe nafasi kubwa sasa, maana sirikali ni kama imeelemewa katika hili
  9. J

    Mikopo elimu ya juu

    Imesikitisha sana kusikika fununu za kunyimwa mikopo kwa wanachuo kwa kozi mbalimbali za sayansi licha ya kipaumbele kilichokuwa kimewekwa na serikali hapo awali.......... wadau mnazungumziaje hili suala, ntawapa fununu zaidi...... siasa kwenye elimi ni uozo usiovumilika jamani
Back
Top Bottom