Ukiona mwanaume analia ujue kaguswa pabaya

Ukiona mwanaume analia ujue kaguswa pabaya

simple mkuu. nyote mmemtumia, na anatumia time kuwachezea vichwa. chukua no za msela, mpigie mfanye appointment kwa siri bila demu kujua. na mmoja kati yenu, amshawish kutoka out, then mwingine awakute hapo.

pigeni story kama marafiki, halafu aliyetoka naye amtambulishe kwa rafiki kuwa huyu ni mchumba wangu, then baada ya muda naye aseme nami ni mchumba wangu.

baada ya hapo, mwambieni achague mmoja kati yenu, atakayechahuliwa ndo aamue kuwa naye au kutosa. kazi kwisha.

nb. mie na rafiki yangu tulitumia demu mmoja, baadae mie nikagundua. akiaga anaenda kwa bibi, basi yuko kwa jamaa anasuguliwa, na akiaga yuko kwa babu yuko kwangu anasuguliwa.

nilipogundua, nikamshauri rafik yangu, aje nyumbani, akaja na siku hiyo nilimwita huyo binti, jamaa kufika, na siku hiyo mi ndo nilipika, kwanza hakula chakula, baada ya kula ss, nikamtambulisha na yeye baadae akasema kumbe huku ndo kwa babu huwa unaniaga?

alilia sana akatuona hatufai. wote tulitangaza kumwacha japo kila mtu alitangaza kumwachia mwenzake. naye akimpigia jamaa anasema mie ndo nilikuwa namtafta lkn alikataa, skipiga kwangu anasema hivohivo kuwa jamaa alimtaka lkn alikua amegoma.

wanawake sio watu

Demu wako alikuwa na tabia kama za huyu wangu kumbe. Hata huyu anaaga hivyo hivyo kuwa anaenda kwa babu. Asante kwa ushauri mkuu
 
Wakuu nisiwachoshe, iko hivi:

Leo wakati nko na beiby wangu nayemwamini sana na nliekuwa na malengo ya kumfanya mke wangu, gafla simu yake ikaita kucheki jina ni Abdu ( kama yupo humu atakuwa shahidi), baby akapokea huyo abdu sijui alikuwa anaomba namba ya nani, sikufatilia zaidi.

Badae kidogo abdu akapiga tena, wakaongea kidogo,, sikufatilia. Baada ya muda akapiga tena, baby hakupokea, ndo Abdu akazidi kupiga kama missed call 7 hivi.
Ikabidi nimlazimishe baby apokee, akagoma nikamwambia mimi napokea, hapo ndo ukawa ugomvi sasa. Nikachukua simu kuchek call record nikakuta amejaa Abdu tangu siku za nyuma.

Abdu alivyozidi kupiga nikapokea, akauliza wewe ni nani? Nikamwambia mimi ni Flani na mwenye simu niko nae mbona unasumbua sana?
Akasema huyo ni demu wangu niko naye kama mwaka na nusu hadi mama yake ananifahamu, akanieleza kuwa hata jana walikuwa wote akamuomba nauli anaenda kumuona babu yake ( na kweli hiyo safari alikuwa nayo hata mimi aliniomba nauli nikamtumia).
Akazidi kusisitiza kuwa hata jana jioni alikuwa naye na aliona tunachat akawa amepotezea.

Baada ya hapo mtu mzima kijasho kikachuruzika mgongoni, na huyu baby akajitetea hivi:
Akasema huyu mtu alikuwa anamfatilia mda sana akamkataa sasa huwa anasumbua sana.
Akadai kuwa alikataa kunipa niongee naye kwa sababu alijua tu atamsingizia vitu ambavyo si vya kweli.

Ikabidi nimnyanganye baby simu ili niende nayo alaf nimrudishie j3 ila badae nikaamua kumrudishia.

Hadi sasa sijachukua uamuzi wowote, ila najua penye wengi hapakosi busara. Naombeni ushauri ndugu zangu maana ghafla kichwa changu kimekuwa kidogo sana,

hizi ngebe ndio zinanifanya mimi kama mkuu wa vilaza ni ogope kupenda kwani yaliyonikuta nayajua mimi. Au kama vipi huyo demu ni parasite anang'amua pande zote we tuliza akili kabla ya kufanya maamuzi
 
Last edited by a moderator:
Kesi za hivi huwa hazihitaji ushauri, we jipe muda hasira na maumivu yapungue ufanye uamuzi....umuache au usamehe maisha yaendelee
Humu watu watakuambia huyo dem hafai, msaliti muache, kumbe wao nao jana usiku wamefumania na hawajawaacha....fata moyo wako

Asante Evelyn Salt
 
Last edited by a moderator:
Wakuu nisiwachoshe, iko hivi:

Leo wakati nko na beiby wangu nayemwamini sana na nliekuwa na malengo ya kumfanya mke wangu, gafla simu yake ikaita kucheki jina ni Abdu ( kama yupo humu atakuwa shahidi), baby akapokea huyo abdu sijui alikuwa anaomba namba ya nani, sikufatilia zaidi.

Badae kidogo abdu akapiga tena, wakaongea kidogo,, sikufatilia. Baada ya muda akapiga tena, baby hakupokea, ndo Abdu akazidi kupiga kama missed call 7 hivi.
Ikabidi nimlazimishe baby apokee, akagoma nikamwambia mimi napokea, hapo ndo ukawa ugomvi sasa. Nikachukua simu kuchek call record nikakuta amejaa Abdu tangu siku za nyuma.

Abdu alivyozidi kupiga nikapokea, akauliza wewe ni nani? Nikamwambia mimi ni Flani na mwenye simu niko nae mbona unasumbua sana?
Akasema huyo ni demu wangu niko naye kama mwaka na nusu hadi mama yake ananifahamu, akanieleza kuwa hata jana walikuwa wote akamuomba nauli anaenda kumuona babu yake ( na kweli hiyo safari alikuwa nayo hata mimi aliniomba nauli nikamtumia).
Akazidi kusisitiza kuwa hata jana jioni alikuwa naye na aliona tunachat akawa amepotezea.

Baada ya hapo mtu mzima kijasho kikachuruzika mgongoni, na huyu baby akajitetea hivi:
Akasema huyu mtu alikuwa anamfatilia mda sana akamkataa sasa huwa anasumbua sana.
Akadai kuwa alikataa kunipa niongee naye kwa sababu alijua tu atamsingizia vitu ambavyo si vya kweli.

Ikabidi nimnyanganye baby simu ili niende nayo alaf nimrudishie j3 ila badae nikaamua kumrudishia.

Hadi sasa sijachukua uamuzi wowote, ila najua penye wengi hapakosi busara. Naombeni ushauri ndugu zangu maana ghafla kichwa changu kimekuwa kidogo sana,

Manz akizengua muache aende zake usipalilie maumivu ya moyoo zaid kaka wazur wako wengi aseee
 
Ungekua WW ungeweza

Yah Ningeweza Sana Tena Sana Tu. Tena Kwa Urahisi Mwulize Maswali Haya:
1.Kati Yangu Na Abdu Nani Anaekufikisha Kileleni Kirahisi?
2.Kati Yangu Na Abdu Nani Ambae Unamchuna Kirahis?
3.Kati Yangu Na Abdu Nani Anakubalika Zaidi Kwenu?
4.Kati Yangu Na Abdu Nani Unajisikia Raha Kumtambulisha Mbele Ya Rafiki Zako?
5. Kati Yangu Na Abdu Ni Yupi Aliekubikiri?
Majibu Ya Maswali Haya Yangenisaidia Sana Kwenye Maamuzi Yangu. Fanya Hvyo Wangu!
 
Hizo BP hizo buuuuure mkuu. Kama unaweza kumdhibiti ukaoa oa tu then mpige pin kw huyo basha wake mwngine. Kama unajua huwez kumpiga pin basi jisogeze pembeni tu
 
To be frank..am a man like you, ila kumpata mwanamke who is totally cream ni ngumu kama ilivyo kumpata mwanaume ambaye is cream..na hii yote ndio uleta maana ya kuwa sisi ni binadamu na sio malaika..trust me..its real pain,ila chakufanya huyo inabidi akili kosa,hapo hamna kwamba alikuwa anamfatilia wala nini..the fact the guy is in touch na ratiba yake,fahamu kunakitu kinaendelea wasichana huwa hawana calture ya kushare ratiba zao na mwanaume unless they are too close to them,so mwambie akili kosa aombe msamaha..ikibidi mpatie namba nyingine,nampe second chance kama atakili na kukuomba msamaha kinyume na hapo huyo binti atakuwa mpigaji..nawe utakuwa huru kuanza maisha mengine na mtu mwingine

Nimekuelewa mkuu. Kweli hali ya sasa ni mbaya, kupata mtu muaminifu ni ngumu
 
Kweli kabisa, hata mimi nadhan kutokana na maelezo ya huyu bwana inaonekana stil she love her for real, na pia naona bado kabisa ananafasi ya kusamehe na kusahau hilo na kuhakikisha lengo lake linatimia,

Naiona nafasi ya huyu jamaa kutatua hilo swala bila kuathiri uhusiano na huyo girlfriend wake, na kufanya huyo girlfriend ajutie kosa na kujirekebisha...

Mkuu juakal, narudia tena jipe muda na tumia hekima ya kibinadamu kudeal na hilo swala kama walivyokwisha kusema wengine, angalia mlipotoka na mnapoenda, then fanya maamuzi....

Kweli mkuu, ukweli ni kwamba I still love her but I can take any decision. Naona na mwanaume mwenzangu alichanganyikiwa maana hata simu yake haipatikani tena tangu yalipotokea haya
 
Kweli mkuu, ukweli ni kwamba I still love her but I can take any decision. Naona na mwanaume mwenzangu alichanganyikiwa maana hata simu yake haipatikani tena tangu yalipotokea haya

Wala hajachanganyikiwa ila huenda ni trick tuu kuzima soo,

Usimwache mtu ambae bado unampenda.
Mfanye akili kosa, ajutie, msamehe na maisha yasonge.
 
Yah Ningeweza Sana Tena Sana Tu. Tena Kwa Urahisi Mwulize Maswali Haya:
1.Kati Yangu Na Abdu Nani Anaekufikisha Kileleni Kirahisi?
2.Kati Yangu Na Abdu Nani Ambae Unamchuna Kirahis?
3.Kati Yangu Na Abdu Nani Anakubalika Zaidi Kwenu?
4.Kati Yangu Na Abdu Nani Unajisikia Raha Kumtambulisha Mbele Ya Rafiki Zako?
5. Kati Yangu Na Abdu Ni Yupi Aliekubikiri?
Majibu Ya Maswali Haya Yangenisaidia Sana Kwenye Maamuzi Yangu. Fanya Hvyo Wangu!

Maswali yako magumu sana Madame. Hasa namba 2 na 5. Ila namba 5 unaweza kukuta si mimi wala Abdu
 
Wala hajachanganyikiwa ila huenda ni trick tuu kuzima soo,

Usimwache mtu ambae bado unampenda.
Mfanye akili kosa, ajutie, msamehe na maisha yasonge.

Sawa mkuu
 
Mbona tatizo lako linatatuka?. Piga mimba huyo demu harafu kaa pembeni uangalie mchezo.
 
Teh hiyo ni kama ana uwezo wa kufanya maamuzi magumu, itamuongezea evidences. Ingawa inaonekana mtoa mada hataki kuachana na baby. Ndo maana Nikasema anaweza hata kupotezea pia, tatizo sasa atakuwaje na uhakika kama yeye ndo njia kuu?

Mwenye kujua nani njia kuu, nani mchepuko, nani sponsor, nani escorter ni mwanamke tu....afu hata sidhani kama kuna haja ya yeye kujua kama ni mchepuko au ndo njia kuu make status zinabadilika mchepuko unaeza pandishwa daraja ukawa njia kuu, njia kuu anaweza fanywa sponsor n.k cha muhimu kujua kama ye ndo choice ya huyo mwanamke ili asipotezewe muda au kama anapiga tu aendelee kupiga akijua hapo sio pake
 
Mbona tatizo lako linatatuka?. Piga mimba huyo demu harafu kaa pembeni uangalie mchezo.

Mimba nayo sometimes ni Pata potea kama ye sio chaguo la huyo mwanamke, inaweza singiziwa kwa baba mwingine inaweza kuchomolewa pia yote yanawezekana.....afu mapenzi hayalazimishwi kama sio chaguo heri aende zake tu japo inauma
 
Kweli kabisa, hata mimi nadhan kutokana na maelezo ya huyu bwana inaonekana stil she love her for real, na pia naona bado kabisa ananafasi ya kusamehe na kusahau hilo na kuhakikisha lengo lake linatimia,

Naiona nafasi ya huyu jamaa kutatua hilo swala bila kuathiri uhusiano na huyo girlfriend wake, na kufanya huyo girlfriend ajutie kosa na kujirekebisha...

Mkuu juakal, narudia tena jipe muda na tumia hekima ya kibinadamu kudeal na hilo swala kama walivyokwisha kusema wengine, angalia mlipotoka na mnapoenda, then fanya maamuzi....

Kwakweli aangalie tu umuhimu wa huyo mwanamke kwake, hapa ataishia tu kuambiwa amuache kumbe washauri nao wana manundu ya kufumaniana ila bado wapo pamoja
 
Mimba nayo sometimes ni Pata potea kama ye sio chaguo la huyo mwanamke, inaweza singiziwa kwa baba mwingine inaweza kuchomolewa pia yote yanawezekana.....afu mapenzi hayalazimishwi kama sio chaguo heri aende zake tu japo inauma

Alaf ukipiga kwa lengo la kupata mimba ina maana uende peku. Pia mimba anaweza akabeba kwingine huko alaf akakuletea ulee maana anajua ulitaka mimba
 
Back
Top Bottom