Recent content by Jackson94

  1. Jackson94

    Ni salamu gani ya kabila unayopenda hapa Tanzania?

    Ng'wangaluka Bhabha/Mayu, Ng'wadela Bhabha/Mayu, Dela gwaiza Bhabha/Mayu. Netogilwe sana ekabhela yane, Hosehose aho naleja nale Nsukuma 😏🫡
  2. Jackson94

    Mrejesho wa Safari yangu ya Dar Kigoma na kurudi Dar. Nimetumia mafuta ya Tsh 230,000/= tu!

    Safi sana Mad Max kwa mrejesho wako, ningependa kuifahamu hiyo gari uliyotumia kwenye hiyo safari yako, Asante.
  3. Jackson94

    Ntuzasinye inyandiko udafitiye kopi

    KIRARO CY-INYAMBO Ufite ukuri rwose
  4. Jackson94

    Fursa/ kazi watu wanapiga pesa ndefu na hazijastukiwa na wengi

    Ha ha ha haaaaaaaaaaa shangaa sasa yaani kwa mwezi Mil 6 huo ni uonho uliotukuka.
  5. Jackson94

    Arsenal akimshinda Madrid leo basi mods wanilime ban ya mwezi. Sioni hawa watoto wa mama wakifanya lolote leo

    Mod Cookie safi kabisa kwa kumtimizia bwana Top Gun ombi lake 🤣🤣🤣
  6. Jackson94

    Tambara: The gorge (2025)

    Chat GPT?
  7. Jackson94

    Kwanini Rais wa Ukraine havai suti? Majibu haya Hapa

    Inaonekana unagusia suala la ushiriki wa wasanii na watu maarufu katika shughuli za kisiasa, hasa kwenye kampeni au miradi inayohusiana na chama tawala. Hili ni jambo ambalo si Tanzania pekee, bali hutokea katika nchi nyingi ambapo wasanii na watu wenye ushawishi mkubwa kwenye jamii hutumiwa...
  8. Jackson94

    Kwanini Rais wa Ukraine havai suti? Majibu haya Hapa

    Ijumaa ya tarehe 28 Februari haikuwa siku rahisi kwa Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky alipotembelea ikulu ya White House Marekani. Kabla hata ya mzozo ulioibuka kati yake na wenyeji wake Rais Donald Trump na Makamu wa Rais JD Vance mbele ya waandishi wa Habari, Trump alimpokea Zelensky...
  9. Jackson94

    PreGE2025 Tusaidianeni. Kwanini wabunge wengi wamepata Bachelors na Masters kutoka Open University? Kuna siri gani kwenye hicho chuo?

    Sababu kwanini wabunge wengi au viongozi wa umma wanapata degree za Bachelor’s na Master’s kutoka Open University (kama Open University of Tanzania – OUT) mara nyingi inahusiana na mfumo wa masomo wa chuo hicho na namna unavyowiana na ratiba zao zenye shughuli nyingi. Hapa kuna baadhi ya sababu...
Back
Top Bottom