Naomba kujua malipo ya ushuru Wa vyombo vya moto unapoagizia kutoka China kuja Tanzania
Mwenye udhoefu tafadhari tuambizane namba zangu za WhatsApp 0787701403
Sent using Jamii Forums mobile app
Wadau habari za humu,naomba kujua ni nini huwa wanaweka kwenye juice inavyokuwa imetengenezwa hata ikae muda mrefu kama miezi hata mitatu miwili,idea yangu nataka kuanzisha kiwanda cha kupack juice original ya pachichi mixer na papai,sasa nahitaji kuweka kwenye Vifungashio ili niwe nasambaza,na...
Habari wadau natafuta injini za kusagia Mahindi za uingereza au Japan HP 40 mwenye anayejua zilipo anielekeze,au anitumie meseji kupitia Namba +255789139153 WhatsApp
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.