Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,284
- 39,511
Ukiingia uko naskia hurud ndo basi tena
Sent from my iPhone using JamiiForums
Sent from my iPhone using JamiiForums
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] bibi wa watu akaachwe huko lol..Nenda huko na FaizaFoxy ukamwache huko..
Jamaa mmoja kwenye miaka ya 2005 alikuwa anasimula Pale RFA kwenye kipindi cha sitosahau siku ya kwanza anapelekwa gamboshi anadai alikutana na treni ya Umeme, viwanja vya ndege vya kisasa,
Nikajisemea kimoyo kumbe tupo vizuri, kuna haja ya kuwashirikisha hawa jamaa wa gamboshi kuelekea Tanzania ya viwanda
Mtanzangazaji alikuwa somebody loic maganga!!! noma sana mkuumkongwe mwenzangu aisee.. hahahahaha kile kipindi hataree.. nilishamsikiLiza hata mm
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu una ndoto za Alinacha. Naona unajitahidi kusafiria nyota za kina Mshana na Mzizi mkavuGamboshi is real.
Ndungu zangu wanajamvi, wiki iliyopita nilikuwa katika safari zangu za kila siku za tafiti. Moja ya tafiti ambazo nimejikita nazo ni tafiti za kitamaduni na mali kale.
Kwanza nianze kwa kusema hivi uchawi upo, kila nchi inautumia kwa namna yake.
Nilitembelea katika kijiji kimoja huko mkoani shinyanga nikakutana na mzee anayejulikana kwa jina la Madeleke. Lengo langu ni kutaka kujua na kujifunza namna ya jamii za kale walivyoishi.
Tuliongea mambo mengi na alinifundisha vitu kadha wa kadha ikiwamo namna ya kufanya uchawi. Nikamwambi mzee nasikia habari za kuhusu gamboshi hivi kweli suala lipo.
Mzee aliniambia suala hilo lipo na yeye ni mmoja wa members wa gamboshi. Akaniahidi atanipeleka.
Tulifanya maandalizi kwa muda wa siku 6 kisha tukafunga safari kuelekea mkoani Simiyu.
Kusema kweli safari yetu ilikuwa ya ajabu sana, maana tulisafiri usiku wa manane. Usafiri uliotumika ni wa wanyama mithili ya fisi ila wao wapo juu kidogo.
Mida ya kama saa 8 za usiku niliona taa zikiwaka mbele yetu. Ni taa za kila namna.
Ndugu yangu, tuliingia kwenye lango lililo chini ya mlima na kukutana na watu wa kila aina. Walikuwepo wazungu, warabu, wachina na sisi waafrika.
Mzee kaniambia hapa ndio gamboshi.
Kulikuwa na chakula, vinywaji. Watu walikuwa wakisherehekea.
Wanawake wazuri wazuri walikuwepo. Na kuna wengine wasanii na wanasiasa wakubwa niliwaona. Niliwaona wachungaji kadhaa wanaohubiri wakijumuika.
Kweli uchawi upo na Gamboshi ipo.
Ninatarajia kwenda huko tena mwezi wa tano. Mzee ameniahidi ataenda kunitambulisha na mimi niwe member.
Ninayo mengi sana niliyojifunza. Watu wa gamboshi ni wakarimu na wanaupendo.
Kama kuna mtu yupo tayari aweze kuni PM tupange safari twende pamoja.
Asanteni.
Ngoja nijiandikishe nikawasalimie Gamboshi🙂🙂🙂🙂
Gamboshi is real.
Ndungu zangu wanajamvi, wiki iliyopita nilikuwa katika safari zangu za kila siku za tafiti. Moja ya tafiti ambazo nimejikita nazo ni tafiti za kitamaduni na mali kale.
Kwanza nianze kwa kusema hivi uchawi upo, kila nchi inautumia kwa namna yake.
Nilitembelea katika kijiji kimoja huko mkoani shinyanga nikakutana na mzee anayejulikana kwa jina la Madeleke. Lengo langu ni kutaka kujua na kujifunza namna ya jamii za kale walivyoishi.
Tuliongea mambo mengi na alinifundisha vitu kadha wa kadha ikiwamo namna ya kufanya uchawi. Nikamwambi mzee nasikia habari za kuhusu gamboshi hivi kweli suala lipo.
Mzee aliniambia suala hilo lipo na yeye ni mmoja wa members wa gamboshi. Akaniahidi atanipeleka.
Tulifanya maandalizi kwa muda wa siku 6 kisha tukafunga safari kuelekea mkoani Simiyu.
Kusema kweli safari yetu ilikuwa ya ajabu sana, maana tulisafiri usiku wa manane. Usafiri uliotumika ni wa wanyama mithili ya fisi ila wao wapo juu kidogo.
Mida ya kama saa 8 za usiku niliona taa zikiwaka mbele yetu. Ni taa za kila namna.
Ndugu yangu, tuliingia kwenye lango lililo chini ya mlima na kukutana na watu wa kila aina. Walikuwepo wazungu, warabu, wachina na sisi waafrika.
Mzee kaniambia hapa ndio gamboshi.
Kulikuwa na chakula, vinywaji. Watu walikuwa wakisherehekea.
Wanawake wazuri wazuri walikuwepo. Na kuna wengine wasanii na wanasiasa wakubwa niliwaona. Niliwaona wachungaji kadhaa wanaohubiri wakijumuika.
Kweli uchawi upo na Gamboshi ipo.
Ninatarajia kwenda huko tena mwezi wa tano. Mzee ameniahidi ataenda kunitambulisha na mimi niwe member.
Ninayo mengi sana niliyojifunza. Watu wa gamboshi ni wakarimu na wanaupendo.
Kama kuna mtu yupo tayari aweze kuni PM tupange safari twende pamoja.
Asanteni.