msaada jamani niupi utafauti wa hizi kozi? naje ukisoma BAF-Ps lazima uajiriwe na Serikali tu au ata private unachukuliwa?
samahani kwa wewe utakaeona nimeuliza swali la kijinga
najua mwingine atasema unawaza kuajiriwa badala ya kujiajiri kaa kimya tu acha wanaojua wanisaidie
Mungu awabariki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.