Recent content by jackson charles bullet

  1. J

    Ugomvi wa jide na clouds umefika huku?

    sasa ukiwa msanii ukamshirikisha jide nyimbo yako aipigwi kabisa
  2. J

    Chini ya GPA 3.5 tunaweza ruhusiwa kusoma?

    Tafuta kazi kwakutumia cheti chako cha diploma
  3. J

    Kazi ya uhasibu

    mchapakazi nimependa hilo jina ngoja wajee watakusaidia tu
  4. J

    Accounting and finance Bs Vs Accounting and finance Ps

    msaada jamani niupi utafauti wa hizi kozi? naje ukisoma BAF-Ps lazima uajiriwe na Serikali tu au ata private unachukuliwa? samahani kwa wewe utakaeona nimeuliza swali la kijinga najua mwingine atasema unawaza kuajiriwa badala ya kujiajiri kaa kimya tu acha wanaojua wanisaidie Mungu awabariki
Back
Top Bottom