Recent content by jackobo kimweri

  1. J

    JamiiForums Tanzania Kitoto cha mbwa miezi mitatu

    Mimi nilizika vimbwa 6 sababu ya ugonjwa kama huo,walianza kutapika kila wanachokula kulegea mwili kuharisha damu,nikapeleka hospital dokta anataka kila mmoja alipiwe sh laki mbili na 70,kwa dozing ya siku tatu ,nikashndwa wakafa wote ,kama ni huo ugonjwa kupona ni nadra na kutopewa chanjo kwa...
  2. J

    JamiiForums Tanzania Kombora Jericho likiandaliwa rasmi tayari kwa kazi huko Iran!!

    Kweli kavurugwa
  3. J

    JamiiForums Tanzania Yawezekana mzozo wa Middle East ukawa mkubwa na kuanzisha WW3?

    Anajizima data huyu
  4. J

    JamiiForums Tanzania Nampenda Trump Ila anaboa Sana ni mwoga wa Vita salute kwa Benjamin Netanyahu

    Bilashaka sio mwoga bali kashikwa pabaya.
  5. J

    JamiiForums Tanzania Hii ndiyo sababu ya pengo la maendeleo kati ya Wakristo na Waislamu kwetu Watanzania wa asili

    Wamejiwekezea sana kwenye biashara za kahawa alikasusu mchuzi wa pweza,na nyinginezo kama hizo
  6. J

    JamiiForums Tanzania Nahitaji mashine ya kukunia nazi

    Zinapatikqna sehemu nyingi kwa dar hii,ukikosa huko njoo kinondoni studio zipo nyingi
  7. J

    JamiiForums Tanzania Tofauti kati ya Yesu na Nabii Issa

    Kumekucha
  8. J

    JamiiForums Tanzania Trump atishia kupiga boti zinazotega mabomu huku hali ya wasiwasi ikiongezeka katika Mlango-bahari wa Hormuz

    Tulikubaliana na trampoline,irani haina jeshi la majini ,hizo boti zimetoka wapi tena
  9. J

    JamiiForums Tanzania Kwenu wachambuzi wa Mashariki ya Kati ( Iran, Israel na Marekani)

    Nilimsikia Trump analalama ya kua Saraha walizopeleka wakurdi ili wazitumie kufanya vurugu na hata kuupindua utawala wa irani zimepotea kusiko kusiko Julikana, pia waziri mkuu wa Israel akkili wazi yakua ndo mfadhili kundi la hamasi na uthibitisho wa malipo yalofanywa na serikali ya Netanyahu...
  10. J

    JamiiForums Tanzania Russia & US: Hebu soma kwa makini ili ujue kipi cha kujifunza kati ya hizi nchi mbili zenye nguvu duniani

    Kuna 20% ya ardhi ya Ukraine iko chini ya urusi hii unaizungumziqje
  11. J

    JamiiForums Tanzania Uingereza: Hatutahusika katika kuzingirwa kwa Mlango-Bahari wa Hormuz

    We jamaaa ,kwahiyo muhozi anamaanisha kweli
  12. J

    JamiiForums Tanzania Muhimbili watolea ufafanuzi Hoja zilizotolewa na Dudubaya kuhusu MRI

    Kawakulupusha walipojificha hahaha
  13. J

    JamiiForums Tanzania Tanzania Freedom Fighters (TFF) ni kina nani na nani yupo nyuma Yao?

    Wajanja sana,yani mwanzo nilidhani ni shirikisho la mpira asee ,hapa ukidakwa wasema mimi nimkereketwa wa TFF, HAHAHAHAAA
Back
Top Bottom