kujigamba kisa umesoma chuo "x" ni ushamba tu. Tunataka tuone mabadiriko chanya huku mtaani. Kupata GPA kubwa au ndogo alafu useless ni sawa na hamna ulichofanya. Soma vizuri (fuatilia na zingatia masomo) ili yakusaidie na usaidie binadamu wenzako.
Mkoa wa Lindi:
CUF 4
CCM 4
Mtwara Ccm anaongoza kwa nafasi moja. iliobaki hii ya Masasi, endapo UKAWA watashinda itakua sare, kama kitambaa cha sare akitoshi basi Sisiem wataongoza viti 2
degree ya UDOM = UDSM=vyuo vingine. But, wa Udsm wanapenda sifa sana na kujiona wapo vizuri. Kumbe ndo hao hao wanaohujumu mali za wananchi. PUMBA KABISA
Hapa Kazi Tu!
~>Ishu ku attend shuleni(kazin)... Hakuna kufundisha kwa kujitolea.
Nawapenda walimu wa siku izi, hawanaga maneno maneno wao vitendo tu. Wanajazana maofisini na mikoroshoni kupiga stori tu. afu jion hakuna kurudia shule ni kukesha kijiwe tu.....'
WENGINE WAFAIDI NA WENGINE...
Naombeni msaada mwenye ufahamu juu ya upigaji kura kwa wanafunzi wa vyuo vikuu na Watanzania ambao wanaitaji kupiga kura lakin siku ya kupiga kura itawakutia sehem tofauti na walipojiandikisha?
TUWEKANE SAWA!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.