jackihi makosa
Member
- Nov 11, 2013
- 36
- 7
degree ya UDOM = UDSM=vyuo vingine. But, wa Udsm wanapenda sifa sana na kujiona wapo vizuri. Kumbe ndo hao hao wanaohujumu mali za wananchi. PUMBA KABISA
MUNGU atasikia kilio chako usiache kuomba utafanikiwa tu, pole ndugu dont lose hope MUNGU wetu ni wa majira na nyakati
Dahhhh kazi kwelikweli...... Nina ka degree ka open university ila post nzuri tu TBL...... 2.8m inanitosha heri yenu UDOM& UD
Polee watu wanadiploma zao za technical wako tbl hiyohiyo wanakula gross ya 4M a.k.a grade j
Kupata kazi ni majaliwa ya Mungu ila product ya UDSM ina utofauti kidogo na product ya UDOM hiyo tukubaliane tu ki ukweli.
Khaa!! Miye niliacha shule darasa la pili ila post yangu ni mganga wa kienyeji. MD wenu haamui chochote bila kwanza kuniconsult. Nakula dolare tu :mvutaji:Dahhhh kazi kwelikweli...... Nina ka degree ka open university ila post nzuri tu TBL...... 2.8m inanitosha heri yenu UDOM& UD
Wapi nimeandika ninataka zifanane?Ulitaka zifanane kwan wote wanafundishiwa darasa moja??
mzumbe hatuna dili
Ukweli utabaki pale pale Udom ni vilaza si unaona jinsi mhitimu wa Udom anavyo attack mtu personally...badala ya kujikita kwenye mada matusi yote ya nini? bwana mdogo..wewe hujiamini na hio kazi umebahatisha kama watasema wairudie hio interview lazima wakutoe knock out...hadi kazi unabahatisha????usijitoe ufahamu m.p.u.z.i wewe hakuna asiyejua kua kupata kazi ni bahati bz wahitimu ni wengi na idadi ya vyuo imeongezeka...,pilipili usiyoila inakuwashia nini kwenye kitobo chako?
Ukweli utabaki pale pale Udom ni vilaza si unaona jinsi mhitimu wa Udom anavyo attack mtu personally...badala ya kujikita kwenye mada matusi yote ya nini? bwana mdogo..wewe hujiamini na hio kazi umebahatisha kama watasema wairudie hio interview lazima wakutoe knock out...hadi kazi unabahatisha????
hata bible inasema USIBISHANE NA MPUMBAVU, MWACHE AENDE KWANI WOTE MTAONEKANA WAPUMBAVU....KENGE WW
Mdogo wangu nimehitimu UDSM, June 21 2013, 9 September 2013 nikapata kazi shirika la Kimataifa la kuhudumia wakimbizi, mapenzi yangu ni kufanya biashara nimejichanga hela ya mtaji wa kuniwezesha kuanza biashara...nikapiga kazi chini sasa hivi napiga biashara zangu...na pia nime enroll Law School of Tanzania...baada ya muda kadhaa nitakua wakili..tena wakili msomi mimi na wewe nani ambae hajanufaika kitu? kwa hapa niipo elimu yangu imeniwezesha kupata mtaji...em rudia tena sentensi yakooo?hongera ww unayejiamini ila elim yako haijakunufaisha na lolote
Mdogo wangu nimehitimu UDSM, June 21 2013, 9 September 2013 nikapata kazi shirika la Kimataifa la kuhudumia wakimbizi, mapenzi yangu ni kufanya biashara nimejichanga hela ya mtaji wa kuniwezesha kuanza biashara...nikapiga kazi chini sasa hivi napiga biashara zangu...na pia nime enroll Law School of Tanzania...baada ya muda kadhaa nitakua wakili..tena wakili msomi mimi na wewe nani ambae hajanufaika kitu? kwa hapa niipo elimu yangu imeniwezesha kupata mtaji...em rudia tena sentensi yakooo?
mimi nina viwanja zaidi ya 8 mbezi, pia nna ngurue 100, kila siku naingiza zaidi la laki 6, mm na wewe unayejiita chuo bora, nani zaidi KENGE wewe
Kama msomi hautakiwi kukurupuka, nadhani ungefanya utafiti ili hoja yako ikawa kisomi maana wewe ni mhitim wa chuo kikubwa UDOM
Wasomi wanatumia njia mbadala kujenga hoja na sio kama watu wa mtaani jaribu kujitofautisha katika hilo.
Unauhakika upi kwamba graduate wote UDOM wamepataka kazi? Au udsm wengi hawajapata kazi? Lete data hata kuanzia 2012.
Swala la kupata kazi ni swala mtambuka, swala la kuajiliwa wahitimu wa chuo au fani fulani kwa wingi linategemea na uhitajikaji wa soko la ajira kama unataka kuzungumzia in aggregate.
Swala la wewe mmoja kupata kazi tena serekalin halizuii uvumi kwamba watu fulan fulan from chuo fulan hawaajiriki.
Na pia mfano je ungekuwa umepata kazi zile za kwenye kampuni kubwa na nyeti zinazolipa vzuri ungesemaje?
Mshukuru Mungu kwa kupata kazi, fanya kazi usiwe mzigo huko ulipo
Msomi acha majungu na myth za mtaani, jenga hoja kisomi
La sivyo unatafuta majibishano ya ushindani wa kivyuo ambao ni wa kitoto....mambo ya kiferst year...
Hauna ubavu wa kua na viwanja nane, wala biashara ya kuingiza laki 6 kwa siku, sababu biashara sio kama ajira kwamba unaassume kila kitu kipo constant..tuanzie hapa njia ya muongo ni fupi...nguruwe umewanunua wakiwa na umri gani umewatunza kwa muda gani..? tuassume umepata mkopo wa 7.8mil,12 au 15mil toka NMB...na inaonesha upo dar,,,tuanzie hapo...na pia ni muongo sababu biashara sio constant hivyo huwezi sema unaingiza kiasi fulani kwa siku as if ni guaranteed kama ningekua sifanyi biashara ningedanganyika haya viwanja 8 tuassume ni mil 3 kila kimoja x 8 = 24mil of which katika lets say 14 months of your employment bado hata kiwanja hakija appreciate kihivyo, hao nguruwe umewanunua kwa pesa ipi? enh yani wewe ni muongo hata kwa facts...au unataka uonekane ni bab kubwa? jibu lakini usitukane....uonesha umeelimika