Recent content by Jabu Fredrich

  1. Jabu Fredrich

    JamiiForums Tanzania Usidanganyike! Sex meditation ni ibada za kishetani

    Kuingiliana na mwanamke sio wako wakati umeoa ni uasherati,wakati kuingiliana na mwanamke ikiwa sio mkeo na hujaoa huo ni uzinifu
  2. Jabu Fredrich

    JamiiForums Tanzania Miliki kilichopimwa chenye hati kwa tsh 1000 tu kwa siku.

    DED wa Kisarawe ana taarifa za uuzaji huu? Na kwann hamna ofisi hapa wilayani? Nitafuatilia kujua ukweli wa hili maana nipo hapa ila sijapata habari hizi wala kuona tangazo
  3. Jabu Fredrich

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli: Sitaongeza mishahara kwa Watumishi wa Umma mpaka uzalishaji uongezeke

    Nimependa shushu hili,wish uwe unanitusi kila siku [emoji28] [emoji28] hebu ni pm matusi mengine niinjoi
  4. Jabu Fredrich

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Aiseee nimemshusha heshima yaani dah

    Teeeh teeh teeeh!
  5. Jabu Fredrich

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli: Sitaongeza mishahara kwa Watumishi wa Umma mpaka uzalishaji uongezeke

    Nafikiri kuna pahali umeacha tundu mkuu,unafikiri kuwabinya watumishi ndio ufanisi wa kazi? Hii ina impact kubwa kama kuzalisha rushwa kwenye huduma za jamii na kuwafanya watumishi wafanye kazi wakiwa na stress,tutegemee ufanisi kwa mtaalamu mwenye msongo wa mawazo? Karo hajalipa,pango,nauli nk...
  6. Jabu Fredrich

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli: Sitaongeza mishahara kwa Watumishi wa Umma mpaka uzalishaji uongezeke

    Ni kukariri sio kukalili mkuu
  7. Jabu Fredrich

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli: Sitaongeza mishahara kwa Watumishi wa Umma mpaka uzalishaji uongezeke

    Ni uzalishaji sio uzarishaji mkuu
  8. Jabu Fredrich

    JamiiForums Tanzania Aliyemuita Rais Magufuli kilaza, ahukumiwa kifungo cha mwaka mmoja jela

    Ukistaajabu ya Musa utayaona ya firauni
  9. Jabu Fredrich

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwa hili: Wanaume wa Mikoani dada zangu achaneni nao Ni hatari sana kwa Ustawi wa Jamii

    Hupata mingi misiba
  10. Jabu Fredrich

    JamiiForums Tanzania Jeshi la Polisi litoe tamko kuhusu umilikaji holela wa vifaa vya ujasusi

    Na ww unavihitaji tukuuzie mkuu?
  11. Jabu Fredrich

    JamiiForums Tanzania Naona aibu kusema nina masters ya Mzumbe

    We are crooked! Ni vema tukaanza kuajiri kwa ujuzi wa mtu sio rundo la vyeti!
  12. Jabu Fredrich

    JamiiForums Tanzania Kardinali Pengo: Tumuombee Rais Magufuli

    Jamani na Mimi niombeeni!
  13. Jabu Fredrich

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mume kama huyu je ni Mume bora

    Sio muda mrefu tutamsikia anakaribia kujifungua huyu!
  14. Jabu Fredrich

    JamiiForums Tanzania Tumeacha mambo ya msingi tumeanza kutafutana maofisini kwa kurekodiwa

    Point! Issue ni tukio lililorekodiwa! Full stop
Back
Top Bottom