Nimekuja mbio nikafikiri kaongea Jana kumbe last year bahati yake sanahahahah.Yaani niache kumuombea Lisu .
yaani niache kumuombea mke wangu na mwanangu nimuombee nani?
Hahahaha hata Mimi nimeona nikajua habari mpyaNimekuja mbio nikafikiri kaongea Jana kumbe last year bahati yake sana
Asante kwa maoni yako.Mtu kutekeleza majukumu ya kazi yake kikatiba hahitaji kuombewa. Kwa watu wa dini wanasema unaomba mungu (kama yupo) akusaidie kutatua jambo gumu usiloliweza sasa kama mtu anajua urais ni mgumu hadi ahitaji mambi hakua na haja ya kuuomba.
Hii n8 serikali ya ajabu sana inayohitaji maombi kwa kila inachokifanya, kwa hiyo bila maombi hawezi kutekeleza majukumu yake?
Maombi yataleta viwanda? Maombi yatatoa mil 50 kila kijiji? Maombi yatapeleka meli kila ziwa? Maombi yataleta kilimo cha umwagiliaji wa mibuyu? Maombi yataleta barabara ya njia sita toka chalinze au mambi yataleta elimu bure?
Serikali ya maombi.
Pengo aache unafiki, Mimi no mkatoliki lakini huyu askofu amepungukiwa tunu ya kinabii ya kukemea maovu. Mbona hakemei ugaidi wa kiserikali, ukiukwaji wa haki za kiraia nk.ASKOFU Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo amewataka Watanzania kuzidi kumuombea Rais John Magufuli kwa kazi nzuri anayoifanya. Kardinali Pengo alisema hayo alipokutana na waandishi wa vyombo vya habari vinavyomilikiwa na Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam hivi karibuni.
Alisema mambo anayoyafanya sasa Rais Magufuli yana manufaa makubwa kwa Watanzania na kusisitiza kwamba ni viongozi wachache duniani wenye ujasiri wa kufanya hivyo. Kardinali alisema kutokana na kutumbuliwa majipu kwa watu ambao walikuwa ni kikwazo kwa maendeleo ya Watanzania, kiwango cha ubinafsi kinaendelea kupungua kwa kiasi kikubwa.
Alitoa rai kwa Watanzania kuwaombea viongozi wa nchi ili waimarishwe katika kuleta maendeleo ya taifa. “Tunahitaji kuiombea Serikali na tuiweke mikononi mwa Mwenyezi ili viongozi wake waimarike katika kuleta maendeleo kwa taifa letu,” alisema Kardinali Pengo.
Katika mkutano huo, Kardinali alitangaza Parokia teule sita kuwa Parokia kamili, ikiwemo ya Kijitonyama iliyokuwa ni Kigango cha Parokia ya Mwananyamala, hivyo kufanya parokia za Jimbo Kuu Dar es Salaam kufikia 95.
Mbali na Kijitonyama, nyingine ni Mtakatifu Rita Temboni, Msakuzi, Mbande, Mshikamano na Michungwani iliyoko Kimara. Mapema mwaka jana, alipokutana na Umoja wa Wanawake Wakatoliki Tanzania (WAWATA) Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Kardinali Pengo alisema anamwomba Mungu amwezeshe kusimika parokia 100 za jimbo lake katika uhai wake. Kwa sasa zipo parokia teule nyingine sita ambapo zikikamilisha mahitaji yote, zinaweza kutangazwa parokia kamili ndani ya mwaka huu.
Roho ya "kwa nini" hiyo,Kwa nini asijiombee mwenyewe Magufuri mwenyewe
Acha zako mbona unaombea vitu vibaya wenzako.duh kauli ya huyu kiongozi wa dini ile yenye majina mengi ya watakatifu lina ukakasi sana.iko siku naye watu wasiojulikana watampitia.Sijamsikia akisema tumwombee Lissu apone haraka arudi kwenye majukumu yake
Achana na fikra potofuTafuteni kitabu cha how the church and government got the same bed hakika unafiki huu wa viongozi wetu wa didi umezidi,hv mbona wakati wa awamu ya nne ya mtoto wa mjini matamko yalikuwa mengi? Je matamko hayo kwa sasa yamepotelea wapi? Au kwa sababu ni wakwao? Hapa bila shaka pengo litaendelea wigo wa mapengo?
ASKOFU Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo amewataka Watanzania kuzidi kumuombea Rais John Magufuli kwa kazi nzuri anayoifanya. Kardinali Pengo alisema hayo alipokutana na waandishi wa vyombo vya habari vinavyomilikiwa na Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam hivi karibuni.
Alisema mambo anayoyafanya sasa Rais Magufuli yana manufaa makubwa kwa Watanzania na kusisitiza kwamba ni viongozi wachache duniani wenye ujasiri wa kufanya hivyo. Kardinali alisema kutokana na kutumbuliwa majipu kwa watu ambao walikuwa ni kikwazo kwa maendeleo ya Watanzania, kiwango cha ubinafsi kinaendelea kupungua kwa kiasi kikubwa.
Alitoa rai kwa Watanzania kuwaombea viongozi wa nchi ili waimarishwe katika kuleta maendeleo ya taifa. “Tunahitaji kuiombea Serikali na tuiweke mikononi mwa Mwenyezi ili viongozi wake waimarike katika kuleta maendeleo kwa taifa letu,” alisema Kardinali Pengo.
Katika mkutano huo, Kardinali alitangaza Parokia teule sita kuwa Parokia kamili, ikiwemo ya Kijitonyama iliyokuwa ni Kigango cha Parokia ya Mwananyamala, hivyo kufanya parokia za Jimbo Kuu Dar es Salaam kufikia 95.
Mbali na Kijitonyama, nyingine ni Mtakatifu Rita Temboni, Msakuzi, Mbande, Mshikamano na Michungwani iliyoko Kimara. Mapema mwaka jana, alipokutana na Umoja wa Wanawake Wakatoliki Tanzania (WAWATA) Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Kardinali Pengo alisema anamwomba Mungu amwezeshe kusimika parokia 100 za jimbo lake katika uhai wake. Kwa sasa zipo parokia teule nyingine sita ambapo zikikamilisha mahitaji yote, zinaweza kutangazwa parokia kamili ndani ya mwaka huu.
unafiki mtupu