Hizo hbr za uzushi? Na km ni vibaka wapo hawausian na mambo ya bar!!! Sema kuna wacheza pull flan pale sam time wanawakazia wateja macho xna hasa ukiwa mgen?
Wanawake wa humu ni wasaka hela tu, hawana lolote!!!
Yaan wapo serious wanataka mume ila lzm uwe vizur mfukon na watoto wenyewe wapo kiutam flan hiv kimaumbilie.
Naskia na mafund ujenzi waliyopo kwenye makampun ya kichina na wahindi nawo watagona mda c mrefu, watu wanataka ajira ya kwel c kiin macho huku wizara ipo ila inajidai haifahamu.
yaan ww ndiyo mburula, na unaelekea unaishi bila bajet ya maisha yako. yaan mm nitoke kawe naenda kimbiji au nitoke bunju naenda malamba mawil kisa kujua dar bila sbb ya msingi? na hizo ni trip za mbal hiv unaju bei ya boda posta mpya mpk steshen na upo fasta au unaropoka tu na gar yako ya mkopo?
Usalama, ikulu, tanesco, tanapa na wanakuwa vitengo muhim ha ha haaaaa acha nicheke miye maana hata nikinuna nitajiumiza bureeeeeeees nchi inawenyee hii acha tuendelee kusugua gaga......!
Hivi viloba fek ni noma, alichokuwa anafikiri na alichoandika ndipo utagundua kwann wengine wanaona bora kusema ndiyooooo maana unaweza soma na usielewe.......!!!
Kusaidiana c tatizo ktk mausiano, ila kuna waschana wengine wanakera xna kwa kweli, ktk swala la kuomba hela. Kwa mfano mnaanza mausiano hata wik hamna hasa cku akikuvulia chup tu utaskia, sina cm, hela ya kusuka rasta, kuna rfk yangu ananidai ananisumbua kweli na .............. kiukweli kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.