gsu
JF-Expert Member
- Apr 28, 2014
- 3,461
- 711
mkuu chadema ilishakufa sijui unalenga chadema gani chadema kaondoka nayo zitto..
kwanza nakupongeza kwa kukubali ksbisa kutoka katika kilindi cha moyo wako kwamba chadema ndio chama kitakachochukua nchi maana sisiem imeisha jichokea na hata wafadhili wanalijua hilo.
pili masharti ya hao wafadhili kwa Dr Slaa umeyawekea question mark kwamba hujui kama atakubali au la hivyo sii kazi yako kuwa mtabiri.
jiulize hata kama serikali inakataa kutamba ndoa za jinsia moja je zile nchi zinazoamini katika ndoa za jinsia moja zinaedelea kutoa misaada? na ni kwa vigezo vipi zinatoa hiyo misaada ilhali hatukubaliani nao katika hilo la ndoa za jinsia moja?
Za kuambiwa changanya na za kwako!
.