Leo nimekumbuka moja ya kisa cha miaka tisa nyuma kilichomtokea dogo mtaani baada ya demu wake kukata betri getto kwake. Daah dogo baada ya kuona vile, naye akajitundika.Yaani wote walienda na maji hivhiv ka utani.
Ujumbe:
Vijana tulieni haya mambo siyo kabisa; subirieni ndoa. Dogo alijua kuna...
Nyimbo nyingine hata kama umevurugwa vipi ujumbe wake tu unakurudisha njia kuu, hasa ule wimbo wa BUSHOKE, "DUNIA NJIA".
Mimi tu ujumbe wake unanitisha mpaka kesho, yaani ni zaidi ya hutuba ya kanisani na msikitini. 🎤🎤🎤
Hivi wale wakongwe wa muziki safi wako wapi
Eti akina marlaw na goma la
busu la pink
Akina matonya ,zanto n.k
Wapo wapi Leo hii mziki mtamu hakuna tena daaah🙀🙀🙀😫😫😫
Aise leo nimekumbuka mbali kidogo miaka ya 2003 enzi hizo naanza form one shule fulani. Enzi hizo ilikuwa shule ya serikali lakini ya vipaji; aisee hapa nilikutana na vipanga humo darasani mpaka naona kero, maana ilikuwa too much
Lakini nilijivunia sana kuwa pale maana nilijifunza mengi ikiwamo...
Unaonekana mrembo Mara anapita jamaa anakukatia mistari ,kwa sababu ya ujinga wako na we we unakubali on first day eti kwa vile jamaa amevaa vizur,handsome ama ana hela huo ni uzembe wa aina yake ...
. pambana huwezi jua Huyo ni wa aina gani kabla ya kupata ngoma
Alisikika "Mlevi...
Ni kweli kamanda Mshana kwa ufahamu wangu hafifu nilijaribu kutafiti kidogo kuhusiana na hawa watu na kubaini kuwa licha ya kuonekana useless in society lakini wana kitu kizito katika bongo zao ambacho ni very useful in certain environment maybe out of our planet
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.