Mpauko
R.I.P
- Jan 19, 2019
- 2,323
- 3,353
Hahaha ni kichaa maarufu wa siku nyingi sana mitaa ile umeshindwa hata kunipatia mwanga kweli mkuu...
Dah hakuwa kichaa kabisa huyo
Dah hakuwa kichaa kabisa huyo
Ukitoa mambo ya kurogana, kihalisia kila mtu ni kichaa (tuna elements za ukichaa). Viwango tu ndiyo tofauti. Ikizidi sana ndiyo unakuwa ugonjwa wa akili wengine wanaita chizi. Kama ilivyo pia kwa magonjwa mengine, kila mtu anaumwa, ila kiwango cha gonjwa flani kikizidi ndiyo mtu anashindwa na kwenda kwa tabibu.Vichaa vingine ni vya kiukoo sio kuògwa.Je unajua kuna vichaa wasomi hata maproffessor?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukitoa mambo ya kurogana, kihalisia kila mtu ni kichaa (tuna elements za ukichaa). Viwango tu ndiyo tofauti. Ikizidi sana ndiyo unakuwa ugonjwa wa akili wengine wanaita chizi. Kama ilivyo pia kwa magonjwa mengine, kila mtu anaumwa, ila kiwango cha gonjwa flani kikizidi ndiyo mtu anashindwa na kwenda kwa tabibu.
Vichaa wengi Wa zamani walikuwa ni maafisa usalama sasa hivi wamebadili mbinu ndo maana vichaa wamepungua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kamanda Mshana kwa ufahamu wangu hafifu nilijaribu kutafiti kidogo kuhusiana na hawa watu na kubaini kuwa licha ya kuonekana useless in society lakini wana kitu kizito katika bongo zao ambacho ni very useful in certain environment maybe out of our planetNaumia sana ninapomuona mtu 'mwenye matatizo ya akili'(ufahamu), wengine huita vichaa ama wendawazimu. ... Baadhi yetu tuna tabia ya kuwafukuza na wakati mwingine kuwapiga kabisa
KUMBUKA! Hawa nao ni binadamu wenye ndugu jamaa na marafiki! Wengine wana watoto... Ni jambo la kijamii linalohitaji tafakuri ya kina kwakuwa ni wachache MNO walizaliwa wakiwa vichaa.... Hujafa hujaumbika!!!!
Turejee kwenye mada yetu!
Vichaa wako wa aina tofauti wapole waoga wakorofi wababe micharuko nknk.... Yote kwa yote hufanya vitu tofauti na kawaida yaani hutenda kinyume na mazoea
Kuna dunia ya vichaa! Kuna mawasiliano kati yao na vitu tusivyoviona sisi lakini wao wanaviona kusikia na hata kuhisi
Huwa tunasema nut zimelegea ama dish limecheza au tunawaita dakika tatu mbele
Nut zikilegea kwenye gari ama mashine lazima kutatokea sauti za ajabu
Dish likicheza lazima hutapata picha clear
Dakika tatu mbele manake hii ni foreseen.. Yani wanaona kabla ya wakati husika kufika... je hiki ndio chanzo cha uchizi wao?
Wanapokaa na kuongea pekeyao kwa mtazamo wetu... Naamini hawaongei pekeyao bali huwa na mawasiliano na viumbe visivyoonekana kwa macho yetu
Kuna viwango vya ukichaa! Mtu hawezi kuwa kichaa kwa asilimia mia moja! Na ikitokea akawa hivyo hachukui round anakufa
Lazima kuna asilimia za ufahamu hubakishiwa
Ndio maana hasahau kula
Ndio maana mwili ukichoka atapumzika
Ndio maana usiku ukiingia atalala
Ndio maana hachani hela wala kutupa
Ndio maana akivuka barabara lazima achukue tahadhari japo si kwa asilimia mia moja
Ndio maana huhisi kupendwa ama kuchukiwa nknk
Yote kwa yote kuna jambo kubwa nyuma ya vichaa ambalo huwa hatujishughulishi nalo zaidi ya kuwa na mawazo hasi kila tuwaonapo!
Sent using Jamii Forums mobile app
huenda in kweli hii.But I'm not sure
hawa so vichaa ila wana stail ya kujitia ukichaa ili watibu njaa zao.
Hiyo ya kutabiri ni kweli kabisa huwa wanajua mambo yanayokuja...ni kama manabii vilenina babamdogo wangu wa ukoo yeye ni kichaa na anatumia dawa a.. huwa anatabia ya kusema watu waliokufa na kusema amaeongea nao , na huwanasema fulani atakufa huku anacheka na baada ya muda fulani yule mtu hufa kweli.. huwa tunamwita mageuzi japo.. na mkipanga jambo akiwepo anatangaza kabisa anasauti kubwa huyo ...
Hao waliodeki barabara ndio wahusika halisi wa hii mada.
Kuna jamaaa aliiba kuku ya ndugu yake , mama ake wa kiume,akamroga mpaka Leo chiz, kashinda kureverse the spellAcheni unyama, unamroga mtu awe kichaa!! Basi mroge arudishe alichoiba sio kuharibu akili. Nalaani wanaopewa masharti na waganga eti waharibu mtu kwa utajiri au cheo
Sent using Jamii Forums mobile app
naona kwa mara ya kwanza umebalance storyHao waliodeki barabara ndio wahusika halisi wa hii mada.
Mshana naomba dawa ya mtu kuacha hasira.