Mzungu wa unga maisha yake ni nusu jela nusu uraiani kama mtaani kwako wapo waulize ni mzungu wa unga yupi atakaekubali kuwekeza kwa mtoto eti ili baadae apate soko
Kwa yeyote anaehitaji spare za pajero ilipata ajali ilitembelea kipaa tukaamua kuikatakata kwa hiyo kama unapajero yako umeipaki kwasababu umekosa spare labda turbo,engine,gear box,diff... Nitafute kwa namba 0655956691 0755956691
Uwe na chujio la kuchujia kuna mengine sio ya kupeleka nyumbani
Inaonekana wewe ni mtoto wa kishua ujakulia uswahilini ila humu utayapata mengi tu kwa sababu tupo mchanganyiko kwa hiyo akili kumkichwa
Yale mambo hayana utu uzima wala utoto mapenzi ni upofu kama una ndoa tulizana na ndoa yako ndoa na iheshimiwe na watu wote na kama hauna tafuta kipenda roho mfunge pingu mtulie hii onja onja mwisho wake ni mmbaya sana ni hayo tu.
Je wewe mwenyewe ni cster do au unataka mahandsome na wakati we mwenyewe haulipi nijuavyo mimi kama unalipa huna haja ya kujitongozesha ukujipitisha tu kidume mwenyewe anachanganyikiwa
Dunia ina mambo kaka/dada kuna wengine hata ako kamoja kukapata ni shughuli babu anashtuka kwa msimu akiwa ofisini babu akishtuka anampigia cm mama watoto anamwambia babu ameshtuka tukutane nyumbani haraka
Mtoto angejishusha baba asingekataa kusamehe na kama angekataa wangewaita wachungaji maaskofu na mapadri kama watu hawa wameweza kummshawishi akahudhurie mazishi ya mwanae si zaidi kutoa msamaha kabla maji hayajamwagika tatizo vijana wa kileo kiburi akishakuwa na pesa anataka akikosea asiambiwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.