huyu mtu hatari sana, anatumia namba hizo hapo juu ,anajifanya anakufanyia mpango wa kazi then anakuomba hela kwa mpesa akusaidie, ukishampa ,humpati tena hewani.
Mfano wa meseji zake:
habari, am ibrahim from youth progres dsm, am in a cv review meeting for research assistant post nimeona cv yako its gud, lets do a deal. Nakusaidia upate hii kazi this week, ukipata ur first salary utanipa laki 4, salary is 1.8 million. Kama umeafiki tuma sh. Elfu 30 nimpe hr manager ili akupitishe anataka laki 1 me nina elfu 70 tu tuma by m-pesa to 0754 962052 tuma kabla ya saa 10 jioni. Kwa sasa siwezi kuongea nitakupigia simu nikitoka kikaoni.