Recent content by Izdoli

  1. I

    Uzi wa vyakula tu

    Mkuu hapa pweza hafikiii kabisa
  2. I

    Nauza sofa set, vyombo vya biashara ya chakula

    Ingekua hivyo ningeviuza mtaani mkuu wapo kibao wanataka nusu nusu labda nikibadili mawazo
  3. I

    Nauza sofa set, vyombo vya biashara ya chakula

    mkuu nauza vyote kwa pamoja siozi kimoja kimoja
  4. I

    Nauza sofa set, vyombo vya biashara ya chakula

    Mkuu sina mtu wa kusimamia hizo biashara nimeona imegeuka kimada badala ya kuwa biashara.
  5. I

    Nauza sofa set, vyombo vya biashara ya chakula

    mkuu bei zipo juu kwenye maelezo
  6. I

    Nauza sofa set, vyombo vya biashara ya chakula

    Bei ya vyote nimewaka pale juu guys, manake nauza vyote kwa jumla si kimoja kimoja
  7. I

    Ngao ya Jamii, Tanzania: Simba SC na Yanga SC, nani kuibuka mshindi?

    Hamna hofu Simba hata kidogo ladda nyie watani ndio mna hofu ya tano kujiludia tena kabla hamjalipa tano za kwanza.
  8. I

    Ngao ya Jamii, Tanzania: Simba SC na Yanga SC, nani kuibuka mshindi?

    Nyoni na Mkude huwezi kuwaacha nje mechi kama hii
  9. I

    Nakaribia kumuacha

    Siku hizi ni simamisha utoe hela, yaaani kwa usawa huu kama hujaoa na huna hela ni bore ukaenda kupunguza korodani tu.
  10. I

    Nyota za bahati zipoje?

    Eti Toyota mkuu kweli
  11. I

    Nyota za bahati zipoje?

    Haaaa huyo mchungaji ningekua mimi ningeanzisha ngumi hapo hapo huu ni utani kabisa
  12. I

    Nauza sofa set, vyombo vya biashara ya chakula

    Waungwana wa JF nauza sofa Tsh 500,000 tu kwa zote tatu, Zipo Ubungo Dar es Salaam. Kwa maelezo zaidi phone No,0713 418 321
  13. I

    Verossa inauzwa

    Mkuu Gamaha mi nalitaka hilo gari tafadhali kwa hiyo bei,nilikuwa nasoma kama guest imenibidi nijisajili, ntakupataje sasa.
Back
Top Bottom