- Thread starter
- #21
Mkuu kwanini unaviuza?
Umebanwa na shida au unahama mji?
Sijui umri wako upoje ila naamin wewe ni kijana
Na naona kabisa vitu hivyo ni muhimu sana kwako in terms of ujasiliamali
Anyway Goodluck mkuu
Naamin utapata mteja ambaye hatakulalia
Mkuu sina mtu wa kusimamia hizo biashara nimeona imegeuka kimada badala ya kuwa biashara.