Verossa inauzwa

Verossa inauzwa

Mkuu Gamaha mi nalitaka hilo gari tafadhali kwa hiyo bei,nilikuwa nasoma kama guest imenibidi nijisajili, ntakupataje sasa.
 
KATIKA BIASHARA YOYOTE kwa mimi mtanzania lazima ni bargain. hata kama ni dukani am always like that, huwezi sema 6m nikaja na 6m lazima nitabalance naanzia tano wewe unasema ongeza kidogo may be 5.5. then tunafanya biashara. kuna kosa gani mtu akija kwako na biashara ya 6m ukampa ofa ya 5m. ungekua unataka hiyo hiyo 6M ungeanza lbda na 7m or above that!! sawa jombaa?

Nilianza huko mkuu nikakosa wateja so hapo hapo kwenye sita ndio nataka
 
Mkuu Gamaha mi nalitaka hilo gari tafadhali kwa hiyo bei,nilikuwa nasoma kama guest imenibidi nijisajili, ntakupataje sasa.

Izdoli nimekutumia namba yangu PM nitafute tufanye biashara tafadhali
 
Nazidi kupunguza bei jamani mwenye nazo alete hela nikajenge heshima bar
 
Make: 2001
Engine: 1G VVTi, 2000 Beams
KM: 119,698
CC: 2000
Accident: Taili ya kushoto iligonga
Bei,5,500,000
Exemption inaisha mwezi wa kumi

Maelezo ya ziada tazama picture,ni PM kama unataka kuongea biashara

Mkuu ebu nichek pm
 
Sale sale sale jamani bei ya kutupa ha ha 5m cash chukua mzigo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom