Uko sahihi mkuu. Naona mtoa mada huenda ni miongoni mwa wahanga na sasa anatapatapa. Huo mfano alioutoa hauendani na hali halisi. Ndio maana katumia kimombo ili watakaosoma wasiwe wengi. Muacheni Rais wetu afanye kazi na bado mtaisoma namba.
JPM jana alisema" Ukiona adui anakusifia rudi nyuma...
Wakuu wataalam wangu nashukuruni kwa ushauri wenu mzuri.
Naombeni mnifumbue kidogo kuhusu kozi nzuri za kusomea chuoni ambazo naweza kumshauri dogo endapo atapitia diploma. Pia mwenye link za kuview anaweza kutupia
Kwa uelewa wangu ukipitia advansi kila utakachokua unataka kusomea ni unaanza na digrii moja kwa moja.
Mfano ukisomea finance and ancountancy halafu kwa baadae ukataka soma psychology unaanza name digrii moja kwa Moja.
Lakini ukipitia diploma maana yake hata huko mbeleni ukitaka kusomea kit...
Ndugu wanajamvi habari zenu
Nina Mdogo wangu O level alimaliza 2010.
Kwa ufaulu ufuatao:
Chemistry............... B
Maths...................... C
Biology.................... C
History.................... C
Kiswahili................ C
English.................. C...
9937, member: 37963"]Pengine umekuwa ukiwaza sana nini ufanye ili uweze kufanikiwa na kuondokana na adha za umaskini. Yako mambo mengi ya kufanya mimi nataka kukufungua macho kwa jambo moja tu tena kwa uchache. Jambo hili anaweza kulifanya mwenye mtaji mkubwa au mdogo.
Viko vitabu vingi na tena...
Usitumie Jina la kanisa kuhalalisha UONGO. Kwa ufahamu wangu misingi ya kanisa ni biblia na si watu wanasema nini. Una ushahidi hilo kanisa la kale walitumia andiko gani la biblia kumpinga Galillee? Kama hawakutumia andiko bac usiseme ni kanisa bali yalikuwa mawazo yao binafsi kwa sababu nina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.