Lengo lake asomee Finance and accountancy mkuu.
mkuu ipeleke kule jukwaa la elimu watakusaidia sana wadau wa kule,kuna vichwa vilivopitia mengi sn kule...hili sio jukwaa sahihi kwa hii thread yko ndo mana hata michango imekuwa finyu.
Kwani hili ni jukwaa gani?mkuu ipeleke kule jukwaa la elimu watakusaidia sana wadau wa kule,kuna vichwa vilivopitia mengi sn kule...hili sio jukwaa sahihi kwa hii thread yko ndo mana hata michango imekuwa finyu.
Mokoyo Kama nimepotea njia Halafu nakutana nawe.Haki ya Mungu sikuulizi.Sasa ndio umemshauriji?My take:
Apige certificate achanje mbuga diploma etc etc
mgogoone, hahahahahaa nilikimbia jiografia mkuuMokoyo Kama nimepotea njia Halafu nakutana nawe.Haki ya Mungu sikuulizi.Sasa ndio umemshauriji?
unajua mwanzo ilipokuwepo hii thread?we unajibu na wakat mods washafanya kazi yao ya kuhamisha huu uzi!Kwani hili ni jukwaa gani?