Recent content by Iyola99

  1. Iyola99

    Wanaume wa JF sio wakweli hata kidogo

    Na thread wameisoma, Ila wameogop kukoment nilikuw nasoma comment mojamoja Mwitalia feki[emoji1787][emoji119] na mnyakyusa mkorogo.na wewe mkaka ulontumia pic ako dm na kijibagalashehe chako ka usama [emoji1787] Skuingine msludie Tena kuwa wanafki na waongo Mnaifanya jf kuwa Kama...
  2. Iyola99

    Wanaume wa JF sio wakweli hata kidogo

    Wanaume wa jf sio wakweli hata kidogo ,they are not real but full of acting. Sijapenda embu niambie Kama unamke umeoa ulinifatia nini Bobo na kuniomba WhatsApp number and then usinipigie simu usiku nina mke Mara naogopa tutagombana. Wakat inbox unanitongoza unadai upo single chefu[emoji25]...
  3. Iyola99

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Naombeni tip y Argentina na Saudi Sure tips
  4. Iyola99

    Nimeandaliwa chai nimepiga teke

    Tumbo lake limefanya Nini!? Plz Kama humpendi mwambie na muachane SIPENDI WANAUME WANYANYASAJI WA WANAWAKE
  5. Iyola99

    Nimetapeliwa mwenzenu!

    Ulemavu utapata wewe mjinga usie na akili timamu eti nimekutapel elfu 50 hahahah dua la kuku halimpati mwewe na ukae ukijua akuna laana za machoko zinazotiki kwa watu smart labda machoko wenzako
  6. Iyola99

    Nimetapeliwa mwenzenu!

    Ayo Sasa ni Mambo yngu binafsi [emoji120][emoji1751]
  7. Iyola99

    Nimetapeliwa mwenzenu!

    Sina MDA wa kuandika thread y kusingiziwa Nina Mambo chungunzima ya kufanya na si kudeal na wapumbavu ambao hawanisaidii lolote ktk maisha ...Fikilia MTU ameamua kukuchafua acha akuchafue maana wakat wa Mungu kumuumbua si mbali na Nina uhakika kabisa sjatapel ndiomana sipapaliki na thread za...
  8. Iyola99

    Nimetapeliwa mwenzenu!

    Uyo wa kimara ndio nipo nae mpk Sasa na alinitumia 7000 baada y Mimi na uyo anaedai nimetapel elfu 50 kutoelewana maan yy hakuwa anaitaj mke Ila sexing
  9. Iyola99

    Nimetapeliwa mwenzenu!

    Sijala pesa yake yoyote Kama ww NI mtaalamu wa miamala uchekeche uo MUAMALA Apo uone ni edited tu ndugu yangu Karne hii ngumu mwanaume kukutumia Ela ingawaje hakujui Tena elfu 50?? Icho kitu akipo
  10. Iyola99

    Nimetapeliwa mwenzenu!

    Tulishindwana sehemu moja tu YEYE alitaka mapenzi tu Yani nilale nae kwa usiku mmoja akasema nitakupa fedha elfu 50 ukija tufilane nikamtukana nikamwambia mm sio sifiran na istoshe naitaji mume sio SIJIUZI najieshimu Sasa nazan alichokasilik ni mm kumblock baada y kunijibu shombo nilivyomwambia...
  11. Iyola99

    Nimetapeliwa mwenzenu!

    [emoji120][emoji1751] dah ameniskitisha sana
  12. Iyola99

    Nimetapeliwa mwenzenu!

    Yani uyu Kaka ni mjinga ukweli Ila MALIPO NI DUNIANI
  13. Iyola99

    Nimetapeliwa mwenzenu!

    Ame edit ili ionekane kuwa NIMEMTAPEL baada y kukataa nilimwambia Mimi sifirani
  14. Iyola99

    Ulifanya nini au unafanya nini kupambana na kutokuwa na kazi au ajira ili maisha yaendelee?

    Napika mitai natembeza nimeuza sijauza sikati TAMAAA na ikitokea mtu anataka kusuka namsuka kuanzia nywele za jero adi za elfu 18000( knotless). Japo Kuna wakati Mambo hukaza mpaka unatamani kukufuru Ila MUNGU MWEMA KILA WAKATI
  15. Iyola99

    Nimetapeliwa mwenzenu!

    Umepangwa ...we msenge Nini lete iyo attachment yako .....au unafata tu mkumbo ....mwambie kilaza mwenzio akupange vzr
Back
Top Bottom