Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,974
- 35,341
Poledah ameniskitisha sana
Poledah ameniskitisha sana
Hayo makato siyo ya tz labda ya SomaliaSikua nimesoma ile sms,makato 9000 kutuma 50000 haipo hii.
Mambo siku zote uanzia sirini baadae kila kitu waziYaah seems ilikua inatumwa 500,000 au kuendelea
Ikaeditiwa
Hawa kuna mahali wameshindwana mmoja kaamua kumwaga ugali
Ndo ujifunze sasa na siyo unakataa wastaarabu na unaruka na vimeodah ameniskitisha sana
🤣🤣🤣🤣🤣[mention]Mad Max [/mention] umepona kweli?
Tulishindwana sehemu moja tu YEYE alitaka mapenzi tu Yani nilale nae kwa usiku mmoja akasema nitakupa fedha elfu 50 ukija tufilane nikamtukana nikamwambia mm sio sifiran na istoshe naitaji mume sio SIJIUZI najieshimu Sasa nazan alichokasilik ni mm kumblock baada y kunijibu shombo nilivyomwambia sifirani akanitext kawaida akaniambia kumbe hunijui nitakuchafua subili uone nikamwambia go on. Then nikablock na sms za kawaidaYaah seems ilikua inatumwa 500,000 au kuendelea
Ikaeditiwa
Hawa kuna mahali wameshindwana mmoja kaamua kumwaga ugali
Tulishindwana sehemu moja tu YEYE alitaka mapenzi tu Yani nilale nae kwa usiku mmoja akasema nitakupa fedha elfu 50 ukija tufilane nikamtukana nikamwambia mm sio sifiran na istoshe naitaji mume sio SIJIUZI najieshimu Sasa nazan alichokasilik ni mm kumblock baada y kunijibu shombo nilivyomwambia sifirani akanitext kawaida akaniambia kumbe hunijui nitakuchafua subili uone nikamwambia go on. Then nikablock na sms za kawaida
Nafikil ndio ivyooo kaamua aediti kijan mwenyew ukwel Hana hata uwezo wa elfu 50


Duh siku binadamu ni mwendo wa kifiro tu. Pole ndo maswahibu ya maishaKwa hiyo hata hiyo 50k hakutuma??Tulishindwana sehemu moja tu YEYE alitaka mapenzi tu Yani nilale nae kwa usiku mmoja akasema nitakupa fedha elfu 50 ukija tufilane nikamtukana nikamwambia mm sio sifiran na istoshe naitaji mume sio SIJIUZI najieshimu Sasa nazan alichokasilik ni mm kumblock baada y kunijibu shombo nilivyomwambia sifirani akanitext kawaida akaniambia kumbe hunijui nitakuchafua subili uone nikamwambia go on. Then nikablock na sms za kawaida
Nafikil ndio ivyooo kaamua aediti kijan mwenyew ukwel Hana hata uwezo wa elfu 50
Alisahau kuedit kwenye makato yeye ndio anaumbuka sasaHayo makato siyo ya tz labda ya Somalia

Kwa afu nne mia tatu..😂😂 mkuu uliomba vitu vizito
Wanasema uongo uwaambie haudumu sa msela kaumbuka ni sawa unaruka sarakasi uku umevaa kanga ni lazima mbupu ziwe waziAlisahau kuedit kwenye makato yeye ndio anaumbuka sasa![]()
unaruka sarakasi uku umevaa kanga ni lazima mbupu ziwe wazi


nimecheka.Hii jF kuihama ni vigumu sana, kila siku nacheka tu.

🤣🤣🤣Kwa hiyo hata hiyo 50k hakutuma??
Sijala pesa yake yoyote Kama ww NI mtaalamu wa miamala uchekeche uo MUAMALA Apo uone ni edited tu ndugu yangu Karne hii ngumu mwanaume kukutumia Ela ingawaje hakujui Tena elfu 50?? Icho kitu akipoKwa hiyo hata hiyo 50k hakutuma??
Rafiki, jamaa yenu kaumbuka

Kumbe ilikua upigwe kifiro cha mkopo? Pole sana Dada kuwa makiniSijala pesa yake yoyote Kama ww NI mtaalamu wa miamala uchekeche uo MUAMALA Apo uone ni edited tu ndugu yangu Karne hii ngumu mwanaume kukutumia Ela ingawaje hakujui Tena elfu 50?? Icho kitu akipo
Aisee pole mrembo.Sijala pesa yake yoyote Kama ww NI mtaalamu wa miamala uchekeche uo MUAMALA Apo uone ni edited tu ndugu yangu Karne hii ngumu mwanaume kukutumia Ela ingawaje hakujui Tena elfu 50?? Icho kitu akipo