Recent content by iyokichiku

  1. I

    Totally Henock Inonga jana alikuwa Out of Form nani ananibishia hili?

    HENOCK ENONGA ALITUCHOMA, HUYU JAMAA NI DUMA, NI MTU WA MASLAHI TU ANATUMIWA SANA, SISHAURI KUENDELEA NAYE I MSIMU UJAO Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
  2. I

    Azam ni tawi la Yanga, hakuna Mechi pale

    Hii inaweza kuthibitika Leo kwani marefa wanapochezesha mechi ya yanga na Azam mara nyingi wanacheza chini ya kiwango Chao na mechi kuonekana Kama vile bahasha imetembea. Wachezaji wa Azam hawaonyeshi kujituma Sana. Hivyo mechi kuwa ya upande mmoja. Haina haja ya mashabiki kuingia uwanjani...
  3. I

    Nmb Manonga Shinyanga asilimia 90 ya hundi eti signatory wamekosea kusaini na wanarudishwa kujaza fomu

    Uongozi wa nmb tawi la manonga shinyanga umeshindwa kufanya kazi yake kikamilifu kwa kukataa kuwapitishia wananchi hundi zao hasa. asilimia kubwa ikiwa watumishi kwamba eti wamesaini tofauti na saini zao. Hii ni aibu kubwa mtu kuambiwa saini siyo ya kwake wakati anasaini kula Mara, huyo Dada...
  4. I

    TANESCO Shinyanga kwanini mnakata umeme kila siku?

    Kwakweli tumechoka na kukatika umeme Kila siku. Hivii tanesco shinyanga mnashida gani? Kila siku mnajifanya kutengeneza maeneo mbalimbali Kama vile didia. Leo hii mmekata umeme zaidi ya mara 3, Hadi usiku huu umeme umekatika. Mnasababisha wananchi waichukie serikali. Sasa imekuwa too much...
  5. I

    Makonda ameibua mengi Shinyanga, wananchi wengi wamedhulumiwa haki zao

    Ziara ya katibu itikadi uenezi na mafunzo wa CCM siyo ya kubeza. Ziara hii ni karata muhimu Sana kwa Serikali. Nimeona watu wakitoa kero ya kupoteza wenzi wao kutokana na dhuluma ya Mali zao, wengine wakitekwa na kupotezwa hawajulikani walipo utadhani viongozi ngazi ya Kijiji, kata, wilaya na...
  6. I

    Baleke anafanya makusudi kutukosesha magoli

    Hii ni dhahiri Sasa kwamba baleke ametumwa kuihujumu Simba, hivi inakuwaje unalipwa mshahara halafu unatenda kinyume na maadili ya timu Kama mtumishi. Hi haikubaliki Bora waondoke tu. Aidha tujipange upya kuelekea mapumziko haya. viongozi wafanye usajili wa uhakika siyo Kama baleke
  7. I

    Kwa hili la chama simba yatupasa kufanya maamuzi magumu

    Kati ya wachezaji ambao siwakubali ni chama na manula. Waondoke tu
  8. I

    BENCHIKA, anza kumtumia Shaaban Chilunda kwenye ushambuliaji utanishukuru, Baleke hana sumu tena

    Kocha aanze kuwaamini vijana ambao naona watampa mafanikio. Was hezaji Kama Mohamed Musa, hamisi na chilunda ni wachezaji wazuri awaanzishe hao wengine Hadi kamati ya ufundi ikae vizuri, . Mchezaji Kama chama anatakiwa apumzishwe
  9. I

    Ayoub Lakred mnamchukulia poa atawashangaza!

    Lakred naamini ndiye kipa no 1 Simba sports club Anayefuatia kwa ubora ni ALLY SALUM Manula tangu apigwe goli 5 namwona siyo mzalendo kwa timu, Ana tamaa sana
  10. I

    Wananchi wa Mwakitolyo wilayani Shinyanga na athari ya vumbi linalosababishwa na usombaji mawe ya dhahabu

    Hii ni hatari kubwa kwani Kila baada ya dk 5 magari makubwa yanapita happy huku yakiacha vumbi kubwa. Watu wa eneo hili kikohozi na mafua haviishi.
  11. I

    Wananchi wa Mwakitolyo wilayani Shinyanga na athari ya vumbi linalosababishwa na usombaji mawe ya dhahabu

    Wananchi wa Kijiji cha Mwakitolyo wilayani shinyanga wanaathirika kwa kiasi kikubwa na vumbi linalosababishwa na magari makubwa yanayosomba mawe ya dhahabu kutoka Kijiji Cha nyaligongo kwenda mgodi was ZEM DEVELOPMENT unaomilikiwa na Wachina. Viongozi simamieni hilo kwani afya za watu wanaoishi...
  12. I

    Yanga ni underdog kwa Al Ahly

    Hivyo ndivyo ilivyo na mnapaswa kujiandaa kisaikolojia katika mchezo huo kwani mtapigwa goli za kutosha. Hiyo misuli inaweza anguka uwanjani na kupata aibu kubwa. Huyo kijana msemaji wenu amefanya kosa kubwa Sana kuwaelekeza kuvaa misuli. Mashabiki chondechonde msifuate maelekezo hayo.
  13. I

    Mzee mangungu unang'ang'ania madaraka hutaki kung'atuka utaumbuka

    Huyu Mwenyekiti ajitathmini na afanye maamuzi ya kupumzika uongozi, kutoka na upepo unavyoelekea atapata wakati mgumu Sana. Mangungu aachie ngazi kwani Hali ya timu siyo nzuri
  14. I

    FT: CR Belouizdad 3-0 Yanga SC | CAF Champions league | Stade du 5 Juillet | 24.11.2023

    Utopolo michuano ya wakubwa hakuna kitu Hii imejidhihirisha baada ya kufungwa 3-0
Back
Top Bottom