Ayoub Lakred mnamchukulia poa atawashangaza!

franckkimm

JF-Expert Member
Aug 25, 2016
441
854
Kama uliangalia ile game Vs Asec save aliyofanya aisee Ni bonge la kipaa, binafsi sielewagi kwanini huyu mwamba anapondwa, makosa yapogo tuu kwenye mpira Ni kipa gani duniani mzuri hajawahi kufanya makosa ya kiboya?

Ana footwork nzuri Sanaa na Ni kiongozi kwa mabeki kumshinda MANULA, huyu atatusaidia Sana akiendelea kuaminiwa mwisho wa siku mashibiki mdomo kimyaaaaa!!!...Kama ilivyo kwa kibu tu.

Kama unahisi hajui kadake ww...mtu anacheza goalkeeping kakosea kidogo HAJUI. Yanga wanatuchora tuuu!!!, Sisi tunaendelea kuingiaa Cha kike kila siku kumkataa kipa mzuri.

Manula mda wake unaisha, kuumia sio kwa Bahati mbaya ila ndio ivyo hawezi kurudi kuwa Bora Tena ( hata akirejea atawadakia mpaka lini?? ). Huu ndio ukweli ambao mashabiki wenzangu wa Simba hawataki kuusikia!!

Mpira una mwisho (Ni career fupi) mda ukifika inabidi na wengine wapate nafasi, kwanini hatuigi kwa wenye mpira wao (Europe nk).

Kila siku maswali Ni Yale Yale kwanini CHAMA ajaanza, kwanini phiri achezi, kwanini Manula hakucheza na yupo fiti (alipocheza Vs mtani kwanini amecheza hayupo na hayupo fit...stupid).

Ifike mda tuache Mambo yaendee....tuwaachie wenye profession zao wafanye kazi, sometimes tunajiuliza Nani MCHAWI kumbe mchawi Ni sisi wenyewe mashabiki.

Nawasilisha
 
98C151D9-89D3-4301-A3CA-8E56E9C3F0C2.jpeg
 
Huyu jamaa ni kipa mzuri tu sema watz wengi ni wamejaa ujuaji wa kifala.

Tangu aje mm sijawahi kuona akifungwa mabao ya kuzembe kama watu wengine wanavyo sema.

Ukijaribu kuangalia magoli ambayo amekuwa akishutumiwa nayo yamekuwa yakisababishwa na makosa ya mabeki.

Na ana bahati sana hakudaka siku ya debi na Yanga angekuwa ni yeye aliye fungwa 5 beki ya simba ingepumua maana lawama za timu nzima ange zibeba yeye.
 
Kama uliangalia ile game Vs Asec save aliyofanya aisee Ni bonge la kipaa, binafsi sielewagi kwanini huyu mwamba anapondwa, makosa yapogo tuu kwenye mpira Ni kipa gani duniani mzuri hajawahi kufanya makosa ya kiboya?

Ana footwork nzuri Sanaa na Ni kiongozi kwa mabeki kumshinda MANULA, huyu atatusaidia Sana akiendelea kuaminiwa mwisho wa siku mashibiki mdomo kimyaaaaa!!!...Kama ilivyo kwa kibu tu.

Kama unahisi hajui kadake ww...mtu anacheza goalkeeping kakosea kidogo HAJUI. Yanga wanatuchora tuuu!!!, Sisi tunaendelea kuingiaa Cha kike kila siku kumkataa kipa mzuri.

Manula mda wake unaisha, kuumia sio kwa Bahati mbaya ila ndio ivyo hawezi kurudi kuwa Bora Tena ( hata akirejea atawadakia mpaka lini?? ). Huu ndio ukweli ambao mashabiki wenzangu wa Simba hawataki kuusikia!!

Mpira una mwisho (Ni career fupi) mda ukifika inabidi na wengine wapate nafasi, kwanini hatuigi kwa wenye mpira wao (Europe nk).

Kila siku maswali Ni Yale Yale kwanini CHAMA ajaanza, kwanini phiri achezi, kwanini Manula hakucheza na yupo fiti (alipocheza Vs mtani kwanini amecheza hayupo na hayupo fit...stupid).

Ifike mda tuache Mambo yaendee....tuwaachie wenye profession zao wafanye kazi, sometimes tunajiuliza Nani MCHAWI kumbe mchawi Ni sisi wenyewe mashabiki.

Nawasilisha
Tanzania hakuna wachambuzi wala mashabiki wote ni bendera fuata upepo.
 
Huyu jamaa ni kipa mzuri tu sema watz wengi ni wamejaa ujuaji wa kifala.

Tangu aje mm sijawahi kuona akifungwa mabao ya kuzembe kama watu wengine wanavyo sema.

Ukijaribu kuangalia magoli ambayo amekuwa akishutumiwa nayo yamekuwa yakisababishwa na makosa ya mabeki.

Na ana bahati sana hakudaka siku ya debi na Yanga angekuwa ni yeye aliye fungwa 5 beki ya simba ingepumua maana lawama za timu nzima ange zibeba yeye.
Unamuongelea Lakred au Lukred? Kama Watanzania ni wajuaji basi wewe ni msahaulifu mkubwa. Mechi na Power Dynamos ulikuwa hujazaliwa?
 
Unamuongelea Lakred au Lukred? Kama Watanzania ni wajuaji basi wewe ni msahaulifu mkubwa. Mechi na Power Dynamos ulikuwa hujazaliwa?
Ndio ninesema mna ujuaji hali yakuwa hata mpira hamujui hivi yale magoli unaweza kumlaumu kipa kwa lipi?

Tuanze na goli alilo fungwa siku ya mechi ya power Dynamos huko zambia, kwanza mshambulia aliye funga hilo goli movement yake aliyo kuwa anaifanya akiwa na mpira haikuonesha dalili yeyote iwapo yule jamaa alikuwa anajiandaa kushut, kwa sababa mbele yake kulikuwa na mabeki zaidi 3 wa Simba walikuwa mbele yake na pia alikuwa mbali sana na goli .Inamaana alifanya maamuzi ya kushut baada ya kuona mabeki wa simba walio kuwa wamenzunguka wanamkaba kwa macho ,kitu ambacho kipa hakukitegemea maana aliamini mabeki walikuwa na uwezo wa kumbrock yule mfungaji wa goli. Alafu kingine lile shuti lilikuwa kali japo lilikuja liambaa ambaa kwa chini alafu ule mpira ulikuwa unandunda ndunda kwa chini , hilo goli badala ya kumlaumu kipa, una takiwa kuwalaumu mabeki kwa kushindwa kutimiza majukumu yao na umsifu mfungaji wa lile goli maana alifanya maamuzi magumu na katika wakati usio tegemewa.

Goli alilo fungwa hapa dar sasa hilo ndo kabisa haitaji hata chembe ya lawama maana mchezaji aliye funga lile goli alitoka na mpira karibia na katikati ya uwanja akamove nao kwa zaidi ya sekunde 45 wachezaji wa simba wanamuangalia tu akasoge mpaka nje kidogo ya box wachezaji wa simba wanamuanalia tu, akasegea mpaka katikati ya mabeki 4 wa simba akashot sasa hapo kipa aunamlaumu kwa lipi zaidi ya kuleta ujuaji usio na maana?

Nyinyi ndo mnamlaumu kipa ya taifa staz kwa kufungwa bao la mbali na Hakim Zieych hali ya kuwa magoli ya aina hiyo amekuwa akiyafunga kwenye mechi nyingi tena dhidi ya magoli kipa bora duniani.
 
Ndio ninesema mna ujuaji hali yakuwa hata mpira hamujui hivi yale magoli unaweza kumlaumu kipa kwa lipi?

Tuanze na goli alilo fungwa siku ya mechi ya power Dynamos huko zambia, kwanza mshambulia aliye funga hilo goli movement yake aliyo kuwa anaifanya akiwa na mpira haikuonesha dalili yeyote iwapo yule jamaa alikuwa anajiandaa kushut, kwa sababa mbele yake kulikuwa na mabeki zaidi 3 wa Simba walikuwa mbele yake na pia alikuwa mbali sana na goli .Inamaana alifanya maamuzi ya kushut baada ya kuona mabeki wa simba walio kuwa wamenzunguka wanamkaba kwa macho ,kitu ambacho kipa hakukitegemea maana aliamini mabeki walikuwa na uwezo wa kumbrock yule mfungaji wa goli. Alafu kingine lile shuti lilikuwa kali japo lilikuja liambaa ambaa kwa chini alafu ule mpira ulikuwa unandunda ndunda kwa chini , hilo goli badala ya kumlaumu kipa, una takiwa kuwalaumu mabeki kwa kushindwa kutimiza majukumu yao na umsifu mfungaji wa lile goli maana alifanya maamuzi magumu na katika wakati usio tegemewa.

Goli alilo fungwa hapa dar sasa hilo ndo kabisa haitaji hata chembe ya lawama maana mchezaji aliye funga lile goli alitoka na mpira karibia na katikati ya uwanja akamove nao kwa zaidi ya sekunde 45 wachezaji wa simba wanamuangalia tu akasoge mpaka nje kidogo ya box wachezaji wa simba wanamuanalia tu, akasegea mpaka katikati ya mabeki 4 wa simba akashot sasa hapo kipa aunamlaumu kwa lipi zaidi ya kuleta ujuaji usio na maana?

Nyinyi ndo mnamlaumu kipa ya taifa staz kwa kufungwa bao la mbali na Hakim Zieych hali ya kuwa magoli ya aina hiyo amekuwa akiyafunga kwenye mechi nyingi tena dhidi ya magoli kipa bora duniani.
Goal alilofungwa onana mechi dhidi ya chelsea angefungwa ayoub maneno yangekuwa mengi sana

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom