iyokichiku
Member
- Oct 30, 2023
- 36
- 70
Wananchi wa Kijiji cha Mwakitolyo wilayani shinyanga wanaathirika kwa kiasi kikubwa na vumbi linalosababishwa na magari makubwa yanayosomba mawe ya dhahabu kutoka Kijiji Cha nyaligongo kwenda mgodi was ZEM DEVELOPMENT unaomilikiwa na Wachina.
Viongozi simamieni hilo kwani afya za watu wanaoishi katika Kijiji hichi zipo hatarini sana kwa kupata homa ya mapafu.
Wawekezaji Hawa wanatakiwa kumwaga maji katika babara hii Kama wanavyofanya wanaotengeneza reli ya SGR wanaposomba moramu.
Serikali tumeni wataalamu wa mazingira kuona hili la sivyo afya za watu zitazidi kudhoofika.
Hiyo picha inaonyesha baadhi ya magari hayo
Viongozi simamieni hilo kwani afya za watu wanaoishi katika Kijiji hichi zipo hatarini sana kwa kupata homa ya mapafu.
Wawekezaji Hawa wanatakiwa kumwaga maji katika babara hii Kama wanavyofanya wanaotengeneza reli ya SGR wanaposomba moramu.
Serikali tumeni wataalamu wa mazingira kuona hili la sivyo afya za watu zitazidi kudhoofika.
Hiyo picha inaonyesha baadhi ya magari hayo