iyokichiku
Member
- Oct 30, 2023
- 36
- 70
Uongozi wa nmb tawi la manonga shinyanga umeshindwa kufanya kazi yake kikamilifu kwa kukataa kuwapitishia wananchi hundi zao hasa. asilimia kubwa ikiwa watumishi kwamba eti wamesaini tofauti na saini zao.
Hii ni aibu kubwa mtu kuambiwa saini siyo ya kwake wakati anasaini kula Mara, huyo Dada anayehudumia dirisha la cheque hafai hata kidogo.
Watu wengi wamesikika wakilaumu kadhia hiyo wanayofanyiwa.
Aidha, hata cheque zinazopitishwa fedha haziwekwi kwenye akaunti zao kwa muda muafaka kwani inatumia hata siku 3, Hadi hela kuwekwa kwenye akaunti.
Uongozi wa benki ya manongo unatakiwa kujitathmini kwa Hali hiyo kwani huduma ni mbovu mbovu mbovu Sana.
Hii ni aibu kubwa mtu kuambiwa saini siyo ya kwake wakati anasaini kula Mara, huyo Dada anayehudumia dirisha la cheque hafai hata kidogo.
Watu wengi wamesikika wakilaumu kadhia hiyo wanayofanyiwa.
Aidha, hata cheque zinazopitishwa fedha haziwekwi kwenye akaunti zao kwa muda muafaka kwani inatumia hata siku 3, Hadi hela kuwekwa kwenye akaunti.
Uongozi wa benki ya manongo unatakiwa kujitathmini kwa Hali hiyo kwani huduma ni mbovu mbovu mbovu Sana.