Recent content by ivunya

  1. ivunya

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais Dkt Mpango azindua kituo cha upandikizaji Mimba na Gari la huduma tembezi za Afya

    Kizazi cha Nyoka kitazaliwa kwa wingi nyakati zinazokuja. Bwana , Yesu Kristo uturehem haukuwa mpango wako tangu uumbaji wako . Ni akili za binadamu na mpango wa yule Muovu kuendeleza uzao wake usiotokana na Asili ya uumbaji.
  2. ivunya

    JamiiForums Tanzania Kamari imeharibu kila kitu kwenye maisha yangu

    Zab 27:1 Bwana ni nuru yangu na wakovu wangu Mithali 1:10 Mwanangu wenye dhambi wakikushawishi, WEWE usikubali Hos 4:6 Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa
  3. ivunya

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa ratiba za minada ya Lindi na Tunduru

    Mwezi wa 10 minada inaanza kufunguliwa
  4. ivunya

    JamiiForums Tanzania Antony Mtaka: Hawa Ma DC Wanafanya Ziara za Kutatua Kero za Wananchi Kijiji Kwa Kijiji, Hawana TV tuu

    Makonda kila eneo aliloteuliwa kajulikana, Huyo mtu wako uliyemleta hapa na wakuu wa Mikoa na Wilaya kabla ya kuteuliwa kwenye hizo nafasi walikuwa na majukumu gani mbona atuone utendaji wao wa kazi huko nyuma. Kigezo cha mtu kujulikana akianzii sasa hivi angalia miaka 10 uliyopita. Ukiwa Mkuu...
  5. ivunya

    JamiiForums Tanzania M23 yaua wanajeshi 3 wa Tanzania huko Goma DRC

    Siyo aibu Jeshi la SADEC limezuiwa kupigana, mashambulizi ya ndege pia wamezuia UN na America. Usilaumu Jeshi
  6. ivunya

    JamiiForums Tanzania M23 yaua wanajeshi 3 wa Tanzania huko Goma DRC

    SADEC wamezuiawa kupigana vita huko na mashambulizi ya ndege pia yapigwa marufuku Lile shambulizi la Jeshi la Tanzania kuwapiga M23, M23 wakaandika barua UN na America naye akaingilia SADEC wakazuiawa kupigana Jeshi la SADEC lipo kati miji ya Sake na Goma hawatoki kwenye hiyo Miji Wanatoa...
  7. ivunya

    JamiiForums Tanzania Jeshi la Rwanda kusalia Msumbiji

    Kuna jambo ambalo watu wengi hawajui kuhusu Congo na SADEC Jeshi la SADEC kule Congo limezuiliwa kupigana vita badala yake wanatoa msaada kwa jeshi la Congo. Mwazoni Jeshi la SADEC lilikuwa linapigana kuna mashambulizi yalifanyika Jeshi la Tanzania, M23 wakapeleka malalamiko UN maamuzi...
  8. ivunya

    JamiiForums Tanzania M23 yaua wanajeshi 3 wa Tanzania huko Goma DRC

    Kitu kisicho julikana Jeshi la SADEC limezuiwa kupiga vita na American Jeshi la SADEC wanatoa msaada tu vifaa Baada ya Jeshi la Tanzania kufanya mashambuliza , M23 wakapeleka malalamiko UN kwa kuandika barua. Maamuzi yalifanyika SADEC wamezuiawa kupigana Vita
  9. ivunya

    JamiiForums Tanzania Iran imesema Kipaumbele cha kwanza ni kuiteka Jerusalem

    Wazari Mkuu wa Dola ya Umedi na Uajemi (Iran) Hamani bin Hamedatha, Mwagagi alishindwa kuwaangamiza Wayahudi miaka mingi iliyopita kabla ya Mfalme wa Wafalme hajazaliwa. Silah Ile ile aliyoiandaa Waziri Mkuu wao ili kumtundika Mordekai (Israel)badala yake wakamtumdika yeye Mwenyewe Waziri Mkuu ...
  10. ivunya

    JamiiForums Tanzania Kansa ya matiti inammaliza mke wangu nikiwa nashuhudia, sina la kufanya. Sijui kama naweza kusahau hili

    Sio kila Ugonjwa mwanadamu anao umwa ni mpango wa Mungu Shetan anaweka Giza katika miili ya watu na ilo Giza linasababisha Mgonjwa Kansa, kisukari na Mgonjwa mengi ili uhai wa mtu uondoke. Ukidondo ghafla ukafa watu wanasema ushirikina uchawi nao sasa hivi umeendelea wanakwepa Wasiwasi Tufata...
  11. ivunya

    JamiiForums Tanzania Nimeambukizwa virusi vya UKIMWI (H.I.V)

    Sijatoa ushauri wa kuponywa, Yeye amtafute Mungu kwa bidii Kuna utofauti wa kutafuta uponyaji na kumtafuta Mungu . Watu wengi wanakimbilia uponyaji badala ya kumtufata Mungu
  12. ivunya

    JamiiForums Tanzania Nimeambukizwa virusi vya UKIMWI (H.I.V)

    Mungu anakupenda sana, siku zote anatafuta watoto wake walio tayari kuyaishi mapenzi yake. Unaweza kuzunguka kutafuta matibabu usipate Lakini Mtazame Yesu kristo amefanya kazi kubwa isio elekeza pale Msalabani. Ishi ndani yake nawe utaishi ndani yake. Anachohitaji ni kushika Amri zake,Sheria...
  13. ivunya

    JamiiForums Tanzania Nimechoka Kuota Napaa Usiku

    Kuna kitu kinaitwa ndoto, ufunuo na Maono Mungu huwa unazungumza na wanadamu kupitia Ndoto Maono na Ufunuo ni kwa wale wanadamu wapo wanaomwabudu Mungu kwa roho na kweli. Ndoto unaoyoota Mungu anakufikiashia ujumbe hali yako ya kiroho Siyo Nzuri ipo chini inawezekana ikawa wewe ni mchawi...
  14. ivunya

    JamiiForums Tanzania Miaka mitano baada ya kumaliza chuo, hatimaye naenda kwenye mshahara wa Milioni 6, bado siamini, nawaza sana

    Usisahau kutoa ZAKA kwa Mungu wa kweli kila fedha unazopata ni ulinzi juu ya Maisha yako na kazi yako . Kuna kuwa na Kafara kwenye madini wahusika ni wafanyakazi.
  15. ivunya

    JamiiForums Tanzania Msemo: Heri kuzaliwa mbwa Ulaya kuliko binadamu Afrika!

    Maneno huwa yanaumba. Ulimwengu wa Roho ndio unao tawala ulimwengu wa Mwili. Unajuwa kabla hajaandika hii habari aliwaza na kufikiri sana baadaye akapata jina la mada “ Bora kuwa mbwa Ulaya kuliko kuzaliwa Tanzania ugumu wote katika maisha yake yameanzia kwenye ulimwengu Roho baada yanakuja...
Back
Top Bottom