Hapa kinachofanyika na viongozi wa nchi ni kuendelea kutengeneza matabaka mawili ya watawala na watawaliwa. Hakuna mbunge wala waziri wala rais wala makamu wake wala waziri mkuu wala majaji na watu kama hao waliostaafu wanawapeleka shule za kawaida watoto wao. Wengi ni international schools au...
Kwa upande wangu naamini Mungu yupo, hasa nikiangalia ulimwengu ulivyo na viumbe viishivyo ndani yake. SISI binadamu ni wanyama lakini tunaupekee wetu tofajti kabisa na wanyama wengine.
Kuhusu Biblia. Biblia ni kama kitabu kingine tu chenye hadithi mbalimbali. Biblia ina bitabu vingi sana...
Ni dhambi nakubali kabisa. Ila hizo complication za kutafuta mtu aliye okoka kwelikweli umweleze shida yako unatudanganya na unawakwamisha watu wengine ambao wanatamani kumrudia Mungu wao
Acha kudanganya watu. Kujua biblia na kuichambua haikufanyi ujitungie vitu ambavyo havipo huku ukirecall mistali ya biblia..
Labda utufafanulie, kwani biblia moja ina Agano la kale na Agano jipya?? Vitabu si vingejipanga tu bila kuvi categories agano la kale na agano jipya??
Kwa kifupi, mfumo mzima wa serikali haupo kwa manufaa ya raia walio wengi. Sheri wanazotunga ni zile ambazo haziwagusi wao kabisa. Jeshi la polisi lipo kuwalinda walio wachache na si kulinda mali na usalama wa raia.
Kuzaliwa mtu mwesi imekua kamalaana by default. Wananchi hawana maji, hawana...
Mimi naamini sana hiki kitu. Mambo tunayofanya waafrica ingekua ni TV program, watu wangependelea sana kututazama. Laana tuliyopigwa Africa ni Mungu pekee anaweza kuja kuitengua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.