Recent content by Itufae

  1. I

    Radio Free Africa na waganga wa kienyeji

    Zimekua kama Radio za Dini za Mbeya. Katikati ya wimbo wa dini wanaweka tangazo la mganga flani 😂😂
  2. I

    Mke wangu amesema amenichoka, amechoka na anaomba nimpe nauli aende kwao

    Bro nafasi ndio hii, haiwezi kujirudia. Malizia moira wavuni
  3. I

    Ukweli ni upi kuhusu Kiswahili kuwa lugha ya kufundishia?

    Hapa kinachofanyika na viongozi wa nchi ni kuendelea kutengeneza matabaka mawili ya watawala na watawaliwa. Hakuna mbunge wala waziri wala rais wala makamu wake wala waziri mkuu wala majaji na watu kama hao waliostaafu wanawapeleka shule za kawaida watoto wao. Wengi ni international schools au...
  4. I

    Mikanganyiko katika Biblia ni kigezo kinachowapa watu uhalali wa kusema hakuna Mungu

    Kwa upande wangu naamini Mungu yupo, hasa nikiangalia ulimwengu ulivyo na viumbe viishivyo ndani yake. SISI binadamu ni wanyama lakini tunaupekee wetu tofajti kabisa na wanyama wengine. Kuhusu Biblia. Biblia ni kama kitabu kingine tu chenye hadithi mbalimbali. Biblia ina bitabu vingi sana...
  5. I

    Kwanini Mwamposa asiende kwenye mahosiptali kuombea wagonjwa na tukaona wanapona?

    Ngoja wafuasi wake tujipange kukujibu, tutarudi soon 😂😂
  6. I

    Ubabe wa Israel Kijeshi

    Ngoja Wayahudi tujipange tutarudi hapa soon.
  7. I

    Dhambi ambazo huwezi tubu peke yako bila kushirikisha watumishi wa Mungu

    Ni dhambi nakubali kabisa. Ila hizo complication za kutafuta mtu aliye okoka kwelikweli umweleze shida yako unatudanganya na unawakwamisha watu wengine ambao wanatamani kumrudia Mungu wao
  8. I

    Dhambi ambazo huwezi tubu peke yako bila kushirikisha watumishi wa Mungu

    Acha kudanganya watu. Kujua biblia na kuichambua haikufanyi ujitungie vitu ambavyo havipo huku ukirecall mistali ya biblia.. Labda utufafanulie, kwani biblia moja ina Agano la kale na Agano jipya?? Vitabu si vingejipanga tu bila kuvi categories agano la kale na agano jipya??
  9. I

    Hatimaye nimekuwa Luteni Usu leo

    Hongera sana Kamanda. Angalizo: Raia wasiwe majaribio ya ukakamabu wako kama tulivyozoea kuona
  10. I

    Yajue mafao ya viongozi wa kisiasa

    Kwa kifupi, mfumo mzima wa serikali haupo kwa manufaa ya raia walio wengi. Sheri wanazotunga ni zile ambazo haziwagusi wao kabisa. Jeshi la polisi lipo kuwalinda walio wachache na si kulinda mali na usalama wa raia. Kuzaliwa mtu mwesi imekua kamalaana by default. Wananchi hawana maji, hawana...
  11. I

    Ni Tanzania pekee wanajeshi utasikia wanapiga Raia

    Asante kwa kunisaidia. Nikisahau kuweka neno Kusini mwa jangwa la Sahara
  12. I

    Ni Tanzania pekee wanajeshi utasikia wanapiga Raia

    Mimi naamini sana hiki kitu. Mambo tunayofanya waafrica ingekua ni TV program, watu wangependelea sana kututazama. Laana tuliyopigwa Africa ni Mungu pekee anaweza kuja kuitengua
Back
Top Bottom