Anasema "Nakupenda kama kaka yangu", nikimuita tukutane anakuja and returns my calls. Shida ni nini?

Attelan

JF-Expert Member
Oct 12, 2023
434
701
Nisiwachoshe ma GT wa Jf.

Heading ipo clear, kuna binti fulani nilimtongoza kama miezi miwili iliyopita, aliniambia atanifikiria na baada ya siku mbili aliniambia hawezi kuwa na mahusiano na mimi kwakuwa ananichukulia kama kaka yake.

Nikaona labda ni namna ya kupotezeana muda nikaendelea na mambo yangu. Siku moja alinitumia meseji akiuliza nikiwa naendeleaje, nilimjibu tu kikawaida kwakuwa hata mimi nilijifunza kumfuta moyoni lakini nikaona ana entertain ku-flirt na mimi wakati anadai ananichukulia kama kaka yake (Yaani mtu wa heshima ambaye hawezi anzisha naye mahusiano).

Siku zimeenda, siku ya leo nimekutana nae tena. Baada ya salamu alinipa weird look, kila nilipomuangalia na kuona ile ilikuwa trick ya ku-flirt kwa njia ya macho na niliona upumbavu kushikilia vitu visivyoshikika nikaagana nae na kuondoka.

Shida inakuwa nini kwa ke, ina maana na wao wana-enjoy ku-flirt na kuwa mislead wanaume wakijua hawawezi kuwa nao kimahusiano? It ' s disgusting and mean!
 
Nisiwachoshe ma GT wa Jf.

Heading ipo clear, kuna binti fulani nilimtongoza kama miezi miwili iliyopita, aliniambia atanifikiria na baada ya siku mbili aliniambia hawezi kuwa na mahusiano na mimi kwakuwa ananichukulia kama kaka yake.

Nikaona labda ni namna ya kupotezeana muda nikaendelea na mambo yangu. Siku moja alinitumia meseji akiuliza nikiwa naendeleaje, nilimjibu tu kikawaida kwakuwa hata mimi nilijifunza kumfuta moyoni lakini nikaona ana entertain ku-flirt na mimi wakati anadahi ananichukulia kama kaka yake (Yaani mtu wa heshima ambaye hawezi anzisha naye mahusiano).

Siku zimeenda, siku ya leo nimekutana nae tena. Baada ya salamu alinipa weird look, kila nilipomuangalia na kuona ile ilikuwa trick ya ku-flirt kwa njia ya macho na niliona upumbavu kushikilia vitu visivyoshikika nikaagana nae na kuondoka.

Shida inakuwa nini kwa ke, ina maana na wao wana-enjoy ku-flirt na kuwa mislead wanaume wakijua hawawezi kuwa nao kimahusiano? It ' s disgusting and mean!
Wanawake wengi hupenda na kuchezea wanaume 'Fala'
 
Nisiwachoshe ma GT wa Jf.

Heading ipo clear,

entertain ku-flirt

trick ya ku-flirt
Shida inakuwa nini kwa ke, ina maana na wao wana-enjoy ku-flirt na kuwa mislead wanaume wakijua hawawezi kuwa nao kimahusiano? It ' s disgusting and mean!
Acha ulimbukeni wa lugha kijana,unapowasilisha hoja yako chagua lugha ya kutumia ili ueleweke,sasa hayo makiswakinge yako yanaonesha hujapevuka lakini kwa kutumia lugha za hivi kunapelekea usipate msaada wa jambo lako
 
Mtoa mada mwenyewe 😀😆🤒
FB_IMG_16920239925713454.jpg
 
Wewe
Nisiwachoshe ma GT wa Jf.

Heading ipo clear, kuna binti fulani nilimtongoza kama miezi miwili iliyopita, aliniambia atanifikiria na baada ya siku mbili aliniambia hawezi kuwa na mahusiano na mimi kwakuwa ananichukulia kama kaka yake.

Nikaona labda ni namna ya kupotezeana muda nikaendelea na mambo yangu. Siku moja alinitumia meseji akiuliza nikiwa naendeleaje, nilimjibu tu kikawaida kwakuwa hata mimi nilijifunza kumfuta moyoni lakini nikaona ana entertain ku-flirt na mimi wakati anadahi ananichukulia kama kaka yake (Yaani mtu wa heshima ambaye hawezi anzisha naye mahusiano).

Siku zimeenda, siku ya leo nimekutana nae tena. Baada ya salamu alinipa weird look, kila nilipomuangalia na kuona ile ilikuwa trick ya ku-flirt kwa njia ya macho na niliona upumbavu kushikilia vitu visivyoshikika nikaagana nae na kuondoka.

Shida inakuwa nini kwa ke, ina maana na wao wana-enjoy ku-flirt na kuwa mislead wanaume wakijua hawawezi kuwa nao kimahusiano? It ' s disgusting and mean!
sio mwanaume , huyo ningeshakula muda sana
 
Back
Top Bottom