Nisiwachoshe ma GT wa Jf.
Heading ipo clear, kuna binti fulani nilimtongoza kama miezi miwili iliyopita, aliniambia atanifikiria na baada ya siku mbili aliniambia hawezi kuwa na mahusiano na mimi kwakuwa ananichukulia kama kaka yake.
Nikaona labda ni namna ya kupotezeana muda nikaendelea na mambo yangu. Siku moja alinitumia meseji akiuliza nikiwa naendeleaje, nilimjibu tu kikawaida kwakuwa hata mimi nilijifunza kumfuta moyoni lakini nikaona ana entertain ku-flirt na mimi wakati anadai ananichukulia kama kaka yake (Yaani mtu wa heshima ambaye hawezi anzisha naye mahusiano).
Siku zimeenda, siku ya leo nimekutana nae tena. Baada ya salamu alinipa weird look, kila nilipomuangalia na kuona ile ilikuwa trick ya ku-flirt kwa njia ya macho na niliona upumbavu kushikilia vitu visivyoshikika nikaagana nae na kuondoka.
Shida inakuwa nini kwa ke, ina maana na wao wana-enjoy ku-flirt na kuwa mislead wanaume wakijua hawawezi kuwa nao kimahusiano? It ' s disgusting and mean!
Heading ipo clear, kuna binti fulani nilimtongoza kama miezi miwili iliyopita, aliniambia atanifikiria na baada ya siku mbili aliniambia hawezi kuwa na mahusiano na mimi kwakuwa ananichukulia kama kaka yake.
Nikaona labda ni namna ya kupotezeana muda nikaendelea na mambo yangu. Siku moja alinitumia meseji akiuliza nikiwa naendeleaje, nilimjibu tu kikawaida kwakuwa hata mimi nilijifunza kumfuta moyoni lakini nikaona ana entertain ku-flirt na mimi wakati anadai ananichukulia kama kaka yake (Yaani mtu wa heshima ambaye hawezi anzisha naye mahusiano).
Siku zimeenda, siku ya leo nimekutana nae tena. Baada ya salamu alinipa weird look, kila nilipomuangalia na kuona ile ilikuwa trick ya ku-flirt kwa njia ya macho na niliona upumbavu kushikilia vitu visivyoshikika nikaagana nae na kuondoka.
Shida inakuwa nini kwa ke, ina maana na wao wana-enjoy ku-flirt na kuwa mislead wanaume wakijua hawawezi kuwa nao kimahusiano? It ' s disgusting and mean!