Nimesikiliza huu wimbo japo kajaribu kusound kama Nick Minaj au Cardi B lakini kiukweli kujitahidi sana kuflow kizungu ambacho wengi wetu wanashindwa kwani hata wakiandika vizuri mistari ya kimalikia lakini kwenye matamshi kinawapiga chenga.
Hongera Rosa Lee, hii ni ladha mpya mjini.
Wimbo...
Hivi wewe mwajuma upoje,
Uliaga unaenda Kariakoo ikawaje uende kigamboni?
Hujui hivi ni vyombo au unataka watu tuonekane waongeaji,alilalamika Sofia
Haaaaa Da Sofi mambo gani hayo unasema kwani umesahau nilikwambiaje,si nilisema yule nisipomkuta dukani kwake basi nitavuka maji hadi nyumbani...
Habari jamii forum,hope mu wazima mpaka mme log in humu basi mambo ni yente.
Bila kupepesa macho kisa kipo hivi, Mwanzoni mwa mwezi wa kumi na moja mwaka huu 2023 nilikuwa natoka job,nikiwa natembea fasta kuja zinapopark Bajaj ili nidandie na kuelekea maskani.
Basi kutokana na mvua za hapa na...
Wakuu maofisa ubashiri naomba kuuliza,hasa Sportybet
Kwa mfano ukiflex mkeka wako wa mechi kumi na tano , halafu zikachana mechi tatu unalipwa?
Au utaratibu ukoje, maana Kuna jamvi lilikuwa na mechi 15 zimechana tatu lakini , hawaneshi nimewin au lost , je inakuwaje?
Nitashukuru kwa ufafanuzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.