Mdude mbona plugs hazichomi hili lipo waziCHADEMA watabaki wasiojitambua tu na wavuta bangi kama Mdude Nyagali ambaye kichwani hazisomi.
Kama huna akili huwezi amini kuwa Chama Cha Siasa chochote kile kimeundwa na Watanzania wenye akili timamu.CHADEMA watabaki wasiojitambua tu na wavuta bangi kama Mdude Nyagali ambaye kichwani hazisomi.
Kivipi?Yaani ufe halafu uwe hai vilevile?Labda Yesu akirudi.Ilikuwa ni suala la muda tu! Hata hivyo bado ni Chadema damu!
Unamlinganisha na nani?Being honest, Pendeza ni mrembo haswa.
Nina hasra Mkuu, wanatuharbia nchi watu wa tabia hii.Umeandika kwa uchungu sana
Sehemu gani ya mwili?Being honest, Pendeza ni mrembo haswa.
Mbona ni mrembo tu,Unamlinganisha na nani?
Tafuta watu waliopita hapo wakwambie sebuleni kulivyo!
Wahenga wanasema Jeneza kwa nje lina chokaa na tiles ndani kuna mifupa inanuka.
Njaa haijawahi kumwacha MTU salama! Kama wanamume tu, wanashika adabu, hawa mabinti, wasingeweza pona,Aliyekuwa Mbunge wa Vitu Maalum Chadema, Mweka Hazina wa Kanda ya Victoria na Mgombea Ubunge Jimbo la Geita kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Ndg. Upendo Peneza, amehamia CCM leo katika mapokezi ya Katibu Mkuu wa CCM Balozi Dkt Emmanuel John Nchimbi.
View attachment 2879532
nitatembeaje na mwanamke mwenzangu?Mbona ni mrembo tu,
Vipi mkuu ulishapita hapo ukaona kuta zimelegea?
Au yale yale ya sizitaki mbichi hizi?
Imepenya hiyo sio Kwa povu hili 🤣🤣Siasa kama Mapenzi tu na Wabunge wa viti maalum kama Madanga(tabia za kimalayamalaya) tu wanahamia palipo na uhakika wa Pesa/teuzi.
Hoja ya chadema ya kuondoa mfumo wa viti maalum na kuwaingiza wanawake katika mchuono wa kawaida itasaidia sana kuondoa wanawake wa hovyo hovyo wenye tabia za kimalayamalaya bungeni.
Kaandamane Kwa Ajili ya Chadema 😆😆Wanasiasa ndivyo walivyo
Siku zote nasema usimpe mdhamana mwanasiasa
Ova
"Everyone is whore, we just sell different parts of our body" Tommas ShelbyMaskini Pendo, hakua na future! Kila la heri katika kuuza utu wako ili upate mkate wako
Kwani ccm huko chupi hazivuliwiChadema walikuwa wanawavua vyupi kwanza halafu ndo majina yanapelekwa bungeni kwa mgongo wa viti maalum,leo unashangaa kuwaona CCM? Washapata tena wa kuwavua vyupi
Wala siwezi andamana kwa ajili ya ccmKaandamane Kwa Ajili ya Chadema 😆😆