Rosa Lee na kibao kipya mjini, ina too deep

Itovanilo

JF-Expert Member
Jul 30, 2018
2,314
5,138
Nimesikiliza huu wimbo japo kajaribu kusound kama Nick Minaj au Cardi B lakini kiukweli kujitahidi sana kuflow kizungu ambacho wengi wetu wanashindwa kwani hata wakiandika vizuri mistari ya kimalikia lakini kwenye matamshi kinawapiga chenga.

Hongera Rosa Lee, hii ni ladha mpya mjini.

Wimbo unapatikana kwenye Platforms zote hivyo mkaupakue siyo kila kitu kutafuniwa.
 
Nimesikiliza huu wimbo japo kajaribu kusound kama Nick Minaj au Cardi B lakini kiukweli kujitahidi sana kuflow kizungu ambacho wengi wetu wanashindwa kwani hata wakiandika vizuri mistari ya kimalikia lakini kwenye matamshi kinawapiga chenga.

Hongera Rosa Lee, hii ni ladha mpya mjini.

Wimbo unapatikana kwenye Platforms zote hivyo mkaupakue siyo kila kitu kutafuniwa.
Wimbo unaitwaje?
 
Back
Top Bottom