Itovanilo
JF-Expert Member
- Jul 30, 2018
- 2,314
- 5,138
Nimesikiliza huu wimbo japo kajaribu kusound kama Nick Minaj au Cardi B lakini kiukweli kujitahidi sana kuflow kizungu ambacho wengi wetu wanashindwa kwani hata wakiandika vizuri mistari ya kimalikia lakini kwenye matamshi kinawapiga chenga.
Hongera Rosa Lee, hii ni ladha mpya mjini.
Wimbo unapatikana kwenye Platforms zote hivyo mkaupakue siyo kila kitu kutafuniwa.
Hongera Rosa Lee, hii ni ladha mpya mjini.
Wimbo unapatikana kwenye Platforms zote hivyo mkaupakue siyo kila kitu kutafuniwa.