Recent content by ititima

  1. I

    Katika shule bora 100, shule za seriakli ni 7 tu

    Mimi nipo shule moja ya binafsi, Moshi, tupo bize Sana na watoto! Kila sekunde ina kazi kwa mwl na mwanafunzi! Kila ijumaa nasaini elf 50 ya remedial, salary yangu 1m , kila baada ya miaka 2 nachukua gratuity isiyopungua 5m. Serikali ikifanya vivo mbona hata mimi nitahamia ! Serikalini hata...
  2. I

    Picha: Dunia yampinga Trump baada ya marufuku kwa Waislamu kuingia Marekani kuanza Jumamosi hii

    Watukufu wanalazimisha kwenda kwa makafiri! Ajabu!
  3. I

    Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Salum Hapi afuta Hati ya Shamba la Waziri Mkuu Mstaafu, F. Sumaye

    Nimeipenda hiyo! Aje na Pangani, Dc keshatulizwa, mbunge kaonheshwa! Hawawezi fanya kitu! Shamba kubwa la ekari elf 10. Mchechu ndiye mmiliki . Halijaendelezwa!
  4. I

    RC Makonda: Nafikiri kuna haja ya kupunguza watumishi Serikalini

    ila jamani ni kweli ofisi za wilaya na mkoa watumishi hawana kazi, stori tu saa 2 hadi saa 9.
  5. I

    Eti kwa waliofaulu PC O' level wanaweza chaguliwa shule za goverment A' level?

    wanachguliwa kwa umri hadi miaka 40 nina ushahidi.
  6. I

    Nafasi ya kusahihisha mitihani ya NECTA

    Iko hivi, NECTA wanatuma inventory form kwa Mkuu wa shule ajaze majina ya walimu anaowaamini kwenye uchapaji kazi. Ikishajazwa anaituma BARAZA [confidentialy], BARAZA wakipokea hayo majina wanayaweka ktk database yao, wanaweza wakachagua jina lolote tu kulingana na uhitaji wao. Baadae muda...
  7. I

    Nafasi ya kusahihisha mitihani ya NECTA

    wewe ni teacher Noni wa Uusseri?
  8. I

    Makonda, kwanini kila ukimtaja Rais Magufuli lazima ukosee na kumtaja Kikwete?

    Hilo la Hillary linaeleweka! Wamarekani walishaapa hawatokaa waongozwe na mwanamke! Makonda alikosea kuongea yale kwa kadamnasi! Will cost him this time! (Nimeuliza huyu jamaa anatoka mkoa gani?)
  9. I

    Makonda, kwanini kila ukimtaja Rais Magufuli lazima ukosee na kumtaja Kikwete?

    Hivi huyu mh. Makonda anatoka mkoa gani?
  10. I

    Kitu ambacho hautokisahau katika maisha yako ulichofanyiwa na mchumba wako au rafiki yako

    Unapatikana rombo ipi dada? Nahisi kutenda miujiza na wewe! Mimi nipo usseri.
  11. I

    Usajili UDOM 1st year ni kero kubwa

    You're too selfish! Thanks!
  12. I

    Usajili UDOM 1st year ni kero kubwa

    Naomba msaada, kuna hii form ya registration :- Student's details :- Programme:-............? School :-.........? College :........? Department :........? Nakuja kusoma Baed (geog & political science ) Hapo juu najazaje wakuu.?
  13. I

    Kuna "Uasi" wa Wabunge wa CCM unaendelea?

    Waliongea nini? Wengine hatuna taarifa!
Back
Top Bottom