Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,791
- 71,195
Namsikiliza Makonda hapa Clouds alipokwenda kujikosha kuhusu shisha na rushwa ya Polisi akikosea tena badala ya Rais Magufuli na kuanza kutaja Rais Kikwete.
Hii sii Mara ya kwanza, hilo kosa analifanya sana na Magufuli ana zaidi ya mwaka ndani ya cheo hicho.
Wataalamu wa saikolojia wanaamini kuwa yule aliyejaa kichwani mwako ndiye mwepesi kumtamka mdomoni.
Jee Makonda akili yake bado imejaa kwa Rais Kikwete kuliko Magufuli au hilo linatokea kwa vile anaripoti mambo kwa Kikwete kinyemela?
JPM Ajichunge kwani wapo wateule wake ambao akili zao hazipo kwake Bali kwa mtangulizi wake.
Hii sii Mara ya kwanza, hilo kosa analifanya sana na Magufuli ana zaidi ya mwaka ndani ya cheo hicho.
Wataalamu wa saikolojia wanaamini kuwa yule aliyejaa kichwani mwako ndiye mwepesi kumtamka mdomoni.
Jee Makonda akili yake bado imejaa kwa Rais Kikwete kuliko Magufuli au hilo linatokea kwa vile anaripoti mambo kwa Kikwete kinyemela?
JPM Ajichunge kwani wapo wateule wake ambao akili zao hazipo kwake Bali kwa mtangulizi wake.