Recent content by IT_mkurya

  1. IT_mkurya

    Diplomasia: Kwanini Xi Ping hakupokewa na Trump uwanjani?

    Kwasababu marekani haijipendekeza kwake kama nchi za africa zinavyo jipendekeza. Amukeni!
  2. IT_mkurya

    Tundu Lissu: Jeshi la polisi lirudishe simu yangu, liache kuingilia mawasiliano yangu

    He can delete and wipeout everything remotely. Why he needs to ask the police to give it back. Kama anakumbuka password fanya hivyo.
  3. IT_mkurya

    Makonda: Niliwatumia watu kupata degree yangu

    Hivi chaneli ni neno la Kiswahili au bashite?
  4. IT_mkurya

    Makonda akiombewa dua na Mashehe

    Huyu jamaa ni mnafki kupitia udini. He is a big cancer to the society and should not be trusted!
  5. IT_mkurya

    Rais Magufuli amteua Bi. Salma Kikwete kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    The topic was about the former first lady been MP was a demotion to her. Hillary Clinton was former first lady after she be came MP. He did not ask about contribution to society nor who will be remarkable in the state house. Stay with the topic my friend!
  6. IT_mkurya

    Rais Magufuli amteua Bi. Salma Kikwete kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Sio demotion bona Hillary Clinton alikua first Lady na badae akawa mbunge! Hiyo inatokeaga
  7. IT_mkurya

    Mi mgeni humu na huu mtandao nimeupenda naomba utaratibu tuende sawa

    Ulisema mimi mwenyeji, kumbe wewe ndio mwenyeji!
  8. IT_mkurya

    Rais Magufuli na Museveni: EPA ni ukoloni mwingine

    Kila nchi iamuwe kivyake kwanini waungane? Hatuna rais wa EAC kwanini tusumbuke kama Kenya inaona watakuwa na manufaa basi waongee na EU nikataba yao. Ni maoni yangu!
  9. IT_mkurya

    Mi mgeni humu na huu mtandao nimeupenda naomba utaratibu tuende sawa

    Hapana, hii ni wiki ya pili humu JF karibu sana tumeingia wakati mmoja.
  10. IT_mkurya

    Waliosoma na kufanya kazi nje ya Tanzania

    Wasomi wanajua umhimu wa maisha. Wanachagua sehemu bora ya kuisha kwa mapato mazuri yanayokizi mahitaji ya familia zao. Leo hii uniambie niende huko dar nikatafute kazi baada ya kua nje kwa miaka mingi. Mazoea ya kazi ni ya nje ya nchi sasa niende Dar kila baada ya masaa mawili ni muda wa soup...
  11. IT_mkurya

    Picha: Masheikh Dar wamuombea dua RC Makonda

    Ndio hao wanadini wanatumia masikini kujitajilisha na siasa itapitia hapo kukuza jina sala za kichrito na kiislam wapi na wapi. He need to know his core values instead of searching for one!
  12. IT_mkurya

    Picha: Masheikh Dar wamuombea dua RC Makonda

    Wanaomba ili majini yamchukuwe au?
  13. IT_mkurya

    Ujio wa Wema Sepetu CHADEMA: Is She an Asset or a Liability? Mmeishaumwa na Nyoka, Hamjifunzi tu?!

    She is liability, she does not have any capital for Chadema, sad!
  14. IT_mkurya

    Steve Nyerere aongea na Wanahabari, amkaanga Wema Sepetu na Mama yake, Wasanii hawaidai CCM

    Huko TZ itabidi kutunga sheria ya kuomba mtu unaeongea nae kama anakubali kurekodiwa wajati wa maongezi. Hii sio sawa kabisa kuchukua maneno ya mtu ili kukusaidia wewe na familia yako. Tusishabikie maneno mabaya, she was wrong and I hope some got something about her. This guy wa helping on that...
Back
Top Bottom