Bado ni wote ni wakazi wa darDah. halafu wamesoma udsm. hahahaaaaa
Eeh apo ndo kabisaa hamna asiye na gariHa ha haaaa afu kila mtu ana gar lake na nyumba
We siio mgeni unapost 239 unaugeni gani?Samahan wana jf natanguliza shukran mi mgen na mtandao huu nahitaji kujua matumiz yake mana napata shida kidogo
Nb:jokes sio nzuri
Hapana, hii ni wiki ya pili humu JF karibu sana tumeingia wakati mmoja.Aiseee wewe mwenyeji kabisa
Hapana, hii ni wiki ya pili humu JF karibu sana tumeingia wakati mmoja.
Ulisema mimi mwenyeji, kumbe wewe ndio mwenyeji!Nimeingia 2016
Ulisema mimi mwenyeji, kumbe wewe ndio mwenyeji!
Acha utoto wewe.Mi sina chama
Huku mkuu kwanza kila mtu ni mkuu, Usipomuita mtu mkuu utaitwa mpenda makuu.
Kingine penda uongo, pia kujisifia. Huku hakuna masikini wala hatujui bei ya dagaa, wala soko lake liko wapi? Ukiwa huku usizungumzie daladala, bodaboda achilia mbali vigari vidogo. mkuu Tuko pamoja?
Huku kupanda ndege ni jambo la kawaida sana, kuibiwa kwa njia ya mtandao tumilioni kadhaa ndio majanga yetu. Huwa hatuibiwi tecno, hapa tunaibiwa Iphone, samasung za bei kubwa na vito vya dhahabu. tecno yako naomba uibatize jina kuanzia leo uiite iphone seven.
Watu wote humu wana majumba yao, usitoe mifano ya mpangaji mwenzako, sema jirani yangu inatosha.
wanawake wa humu wooote ni warembo sana,...mengine utajifunza taratiiibu...
UMENIFAHAMU SANA??
Hakuna jinsia inaitwa boy...Ok poa subil