Ni swali ambalo nilikuwa najiuliza suala la Afisa latokea wapi na ikiwa aliyeripotiwa kuwa ameua ni Mlinzi, alitimiza azma yake pindi tu alipotoka katika Lindo lake la usiku wa kuamkia siku ya Tukio!!
n
D2 au point 4 ni kwa wale waliomaliza mwaka huu 2016. ila kwa wale wa 2015 na 2014 ni C2 kwasababu mlipita kwa BRN..... marks zenu zilikuwa chini sana.
Tumekosa sifa, ila god atabless kwa njia yoyote! Huyu mama sio kbs!! 2012 CSEE alifanya kuboronga kama hivi, now 2016 anaboronga tena ACSEE!! Kweli wengine hatuna bahati. Mtu unajitahidi unapata D, E, S NA S... lakini waonekana kilaza!
Samahani, naomba kuuliza.. Kwa mtu ambaye amemaliza kidato cha sita na amepata Division 3 point 15 yaan Hist E, Kisw D, Eng S na G.s S... Anaweza kuchukuliwa kwa cozy ipi au ni science tu ndo walengwa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.