Recent content by Issah festo

  1. I

    Afisa wa TAKUKURU amuua mchumba wake kwa risasi baada ya kumkatalia ndoa licha ya kumsomesha

    Ni swali ambalo nilikuwa najiuliza suala la Afisa latokea wapi na ikiwa aliyeripotiwa kuwa ameua ni Mlinzi, alitimiza azma yake pindi tu alipotoka katika Lindo lake la usiku wa kuamkia siku ya Tukio!!
  2. I

    Afisa wa TAKUKURU amuua mchumba wake kwa risasi baada ya kumkatalia ndoa licha ya kumsomesha

    Hivi ni Afisa wa TAKUKURU au ni mlizi wa pale ktk Ofisi Zao?
  3. I

    Msaada kwa yeyote aliyemaliza form 6 2016

    n D2 au point 4 ni kwa wale waliomaliza mwaka huu 2016. ila kwa wale wa 2015 na 2014 ni C2 kwasababu mlipita kwa BRN..... marks zenu zilikuwa chini sana.
  4. I

    Msaada kwa yeyote aliyemaliza form 6 2016

    F=0-34, S=35-40, E=41-50, D=51-60, C=61-70, B=71-80 na A =81-100...
  5. I

    Msaada kwa yeyote aliyemaliza form 6 2016

    F ni fail, S ni Subs.... Na kuanzia E mpaka A ni princ!!! Anayesema sio yeye atuambie zina maana gani!?
  6. I

    Msaada kwa yeyote aliyemaliza form 6 2016

    Yupo mwanafunzi mwenzangu ambaye tumemaliza pamoja, na yeye ana C na E lkn amekubaliwa
  7. I

    Ndalichako kama hoja ni kupata graduates wasiokuwa na viwango basi Ungefanya hivi

    Tumekosa sifa, ila god atabless kwa njia yoyote! Huyu mama sio kbs!! 2012 CSEE alifanya kuboronga kama hivi, now 2016 anaboronga tena ACSEE!! Kweli wengine hatuna bahati. Mtu unajitahidi unapata D, E, S NA S... lakini waonekana kilaza!
  8. I

    Karibuni chuo cha Mwalimu Nyerere Memorial Academy

    Vipi nacte wameshafungia au bado kuna uwezekano wa kupata?
  9. I

    Vyuo vya Ufundi, Taarifa Muhimu kwa wanaopenda kujiunga

    Samahani, naomba kuuliza.. Kwa mtu ambaye amemaliza kidato cha sita na amepata Division 3 point 15 yaan Hist E, Kisw D, Eng S na G.s S... Anaweza kuchukuliwa kwa cozy ipi au ni science tu ndo walengwa?
  10. I

    Kama ni maksi kwa serikali ya awamu 5 ningetoa kama ifuatavyo

    Safi sana... Umeona mbali maana kuna wanaokurupuka kwa kukosoa tu mengine mazuri hawayaoni
  11. I

    Chuo huria

    The open university
  12. I

    Karibu tushauriane juu ya nini cha kufanya na matokeo yako ya kidato cha 6

    Huyo ndugu aende degree kwasababu anazo point 4.0
Back
Top Bottom