h.imani
Senior Member
- Oct 2, 2011
- 189
- 94
The Mwalimu Nyerere Memorial Academy ni chuo ambacho bado kina nafasi nyingi za kutosha hadi sasa. Ni chuo cha serikali. Kipo kigamboni, diploma na degrees'. Please, wanaosema vyuo vimejaa sio kweli.
Na ada yake ni cheap sana.
Diploma ni laki nane, degree ni milioni moja tu.
Kwanini uhangaike. Bado siku 2 zilizobaki, karibuni sana.
Mimi ni mwanafunzi wa management of social development.
Na ada yake ni cheap sana.
Diploma ni laki nane, degree ni milioni moja tu.
Kwanini uhangaike. Bado siku 2 zilizobaki, karibuni sana.
Mimi ni mwanafunzi wa management of social development.