Karibuni chuo cha Mwalimu Nyerere Memorial Academy

h.imani

Senior Member
Oct 2, 2011
189
94
The Mwalimu Nyerere Memorial Academy ni chuo ambacho bado kina nafasi nyingi za kutosha hadi sasa. Ni chuo cha serikali. Kipo kigamboni, diploma na degrees'. Please, wanaosema vyuo vimejaa sio kweli.

Na ada yake ni cheap sana.

Diploma ni laki nane, degree ni milioni moja tu.

Kwanini uhangaike. Bado siku 2 zilizobaki, karibuni sana.

Mimi ni mwanafunzi wa management of social development.
 
The Mwalimu Nyerere Memorial Academy ni chuo ambacho bado kina nafasi nyingi za kutosha hadi sasa. Ni chuo cha serikali. Kipo kigamboni, diploma na degrees'. Please, wanaosema vyuo vimejaa sio kweli.

Na ada yake ni cheap sana.

Diploma ni laki nane, degree ni milioni moja tu.

Kwanini uhangaike. Bado siku 2 zilizobaki, karibuni sana.

Mimi ni mwanafunzi wa management of social development.
Kaka mimi nimechaguliwa hapo Techinician certificate in primary education cjui hiyo coz kama ipo namba msaaada wa no za administration
 
The Mwalimu Nyerere Memorial Academy ni chuo ambacho bado kina nafasi nyingi za kutosha hadi sasa. Ni chuo cha serikali. Kipo kigamboni, diploma na degrees'. Please, wanaosema vyuo vimejaa sio kweli.

Na ada yake ni cheap sana.

Diploma ni laki nane, degree ni milioni moja tu.

Kwanini uhangaike. Bado siku 2 zilizobaki, karibuni sana.

Mimi ni mwanafunzi wa management of social development.

kumbe lile neno "politics" mmeliondoa kwenye kozi hiyo mkuu sasa kwa waliotangulia dunia nzima watakuwa wako peke yao au?
 
The Mwalimu Nyerere Memorial Academy ni chuo ambacho bado kina nafasi nyingi za kutosha hadi sasa. Ni chuo cha serikali. Kipo kigamboni, diploma na degrees'. Please, wanaosema vyuo vimejaa sio kweli.

Na ada yake ni cheap sana.

Diploma ni laki nane, degree ni milioni moja tu.

Kwanini uhangaike. Bado siku 2 zilizobaki, karibuni sana.

Mimi ni mwanafunzi wa management of social development.
Msaada tafadhali hii course unayosoma inahusiana na nini na unafnya kazi maeneo gani naomba nisaidie pls
 
Vp hivi chuo hicho kina accommodation au accommodation inakuwaje kwa wanafunzi wa hapo
 
The Mwalimu Nyerere Memorial Academy ni chuo ambacho bado kina nafasi nyingi za kutosha hadi sasa. Ni chuo cha serikali. Kipo kigamboni, diploma na degrees'. Please, wanaosema vyuo vimejaa sio kweli.

Na ada yake ni cheap sana.

Diploma ni laki nane, degree ni milioni moja tu.

Kwanini uhangaike. Bado siku 2 zilizobaki, karibuni sana.

Mimi ni mwanafunzi wa management of social development.
Mkuu ebu nipe details za kutosha kuhusu iko chuo has a hasa katka maswala ya education.
Vilevile Mkuu hapo kunapatikana hostel kwa wanafunz wanaotoka Mikoan au ndio ile kupanga mtaan
Wakuu msaada please kabla hawajafunga hii second round ,maana ata sielew kiufup nmepagawa.
Wakuu msaada
 
Back
Top Bottom