Recent content by ishumi

  1. I

    Nimechaguliwa kujiunga chuo kikuu Huria kozi ya Sheria akupuo ya Julai 2019

    Nielekeze jinsi ya kuapply Boss nataka na mie nijiunge na hiyo chuo mwaka huu
  2. I

    Karibuni Open university of Tanzania

    Walio apply may majibu yanatoka lini boss?
  3. I

    Binti wa kiiraq(mtoto wa kimbulu) kanishika msaada tafadhali

    Mwanamke wakiiraq hata nikipewa bure na kuongezewa milioni tano bure sioi .ukio wale umeoa pressure ndani
  4. I

    KUTUMA APPLICATION ZA UALIMU ZINAANZA LINI?

    Things in this land are unpredictable, unaweza ukasomea ualimu wa msingi bado mambo yakawa magumu baadaye utashangaa keshokutwa wakisema waalimu wa sanaa tunawajiri shule za msingi mana tumewasomesha. In short no body knows about tomorrow
  5. I

    Msaada ualimu cheti>>>chuo kikuu

    Walimu wapo wengi sana serikali haina pakuwapeleka
  6. I

    Msaada ualimu cheti>>>chuo kikuu

    Hiyo ni zero ulikuwa unafanya nini huko shule
  7. I

    Tetesi: Kwanini serikali haiajiri walimu wa masomo ya

    lugha yaani kiingereza na kiswahili katika shule za msinginza umma kama ambavyo wamiliki wa shule binafsi hufanya?
  8. I

    SERIKALI ILIANGALIE UPYA HILI SUALA LA UKOSEFU WA AJIRA NCHINI HASA KWA WALIMU WA SANAA.

    Ukishajua kusoma na kuandika wewe sio mjinga hizo ngazi za elimu za kidato cha 4 ,6 na vyuo ni sifa tu za wabongo ila hazina ulazima
  9. I

    Bed Special needs.

    Watanzania wagumu sana kuelewa someni kozi mnazoweza kujiajiri huu ualimu wenu utawatokea puani
  10. I

    SERIKALI ILIANGALIE UPYA HILI SUALA LA UKOSEFU WA AJIRA NCHINI HASA KWA WALIMU WA SANAA.

    Habarini wanJf! Ukitafakari kwa makini walimu wa digrii waliotelekezwa na serikali wengi wao wamesomeshwa kwa kodi za wanachi maskini, kitu chakushangaza ni kwamba serikali imetumia hela nyingi sana kuwasomesha na bado serikali inaendelea kuwasomesha tena kwa gharama kubwa ili hali serikali...
  11. I

    RASMI: majina ya walimu ajira mpya April 2019

    Special education wameajiriwa wa masomo ya Arts shule za msingi na sekondari ila sio wote,pia wa masomo ya sayansi hawajaariwa wote in short walioajiriwa ni wachache sana ukilinganisha na walio kuwa wameomba, ila waziri mwenye zamana kasema ambao hawakubahatika awamu ya kwanza majina yao...
Back
Top Bottom