Things in this land are unpredictable, unaweza ukasomea ualimu wa msingi bado mambo yakawa magumu baadaye utashangaa keshokutwa wakisema waalimu wa sanaa tunawajiri shule za msingi mana tumewasomesha. In short no body knows about tomorrow
Habarini wanJf! Ukitafakari kwa makini walimu wa digrii waliotelekezwa na serikali wengi wao wamesomeshwa kwa kodi za wanachi maskini, kitu chakushangaza ni kwamba serikali imetumia hela nyingi sana kuwasomesha na bado serikali inaendelea kuwasomesha tena kwa gharama kubwa ili hali serikali...
Special education wameajiriwa wa masomo ya Arts shule za msingi na sekondari ila sio wote,pia wa masomo ya sayansi hawajaariwa wote in short walioajiriwa ni wachache sana ukilinganisha na walio kuwa wameomba, ila waziri mwenye zamana kasema ambao hawakubahatika awamu ya kwanza majina yao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.