galileo zach
Senior Member
- Nov 6, 2015
- 116
- 72
Vijana karibuni muapply open chuo kizuri sana kwa watu wanaojua kujitafutia na kucheza na mda
Chuo chetu mijizeeVijana karibuni muapply open chuo kizuri sana kwa watu wanaojua kujitafutia na kucheza na mda
Haswa ila kwa vijana wanaojielewa chuo kizur sanaChuo chetu mijizee
Kama unanigusa mm vileSema umekosa ruhusa kazini!
Ukweli ndiyo huo mkuu, wengi wanaokuja OUT wamekosa ruhusa kazini mambo ya kujielewa mleta mada ameamua kutuuzia chai tuKama unanigusa mm vile
Hamana kozi ya kusoma umri wa watuChuo chetu mijizee
Kufanya application open university kuna gharama yoyote?
UBAYA WA OUT KWA DEGREE NI HAKUNA LOAN / MKOPO KWA WANAFUNZI SO UNAJILIPIA ,
Sema umekosa ruhusa kazini!
Unaweza kunipatia maelezo zaid! Gharama zenu zipoje?Vijana karibuni muapply open chuo kizuri sana kwa watu wanaojua kujitafutia na kucheza na mda
Vijana karibuni muapply open chuo kizuri sana kwa watu wanaojua kujitafutia na kucheza na mda
Nakuunga mkono kabisa. Nimekuja kugundua na kujionea kumbe wakubwa wengi wa nchi hii wanasoma Open University kwa wanaoanza au walimaliza vyuo vingine nyuma na kutaka kujiendeleza mbele. Plus issue ya kutoa Foundation course ya mwaka mmoja tu inasaidia sana kwa wanafunzi waliomaliza secondary waliokata tamaa kuendelea na chuo kikuu kwa sababu ya matokeo yao.Vijana karibuni muapply open chuo kizuri sana kwa watu wanaojua kujitafutia na kucheza na mda
Umechemka wewe ndugu yangu, vijana hamfuatilii utaratibu vizuri au kufikia watu sahihi wa taarifa kusuhu taaluma husika alafu nikwambie tu kijana kwa wanaochukua foundation pia hawako serious sana kujituma kusoma wanafeli wengi sana na kudrop out. Vijana wa leo tusome na kuwa serious maisha sio simple kama unavyoongelea ubovu wa system ya elimu hivyo!!Foundation mmechemka mara mwez wa 9 final mara mwez wa 5 hamueleweki.
Ndugu wala usiwe na tabu sana tembelea website ya chuo www.out.ac.tz then utacheki kwenye kipengele cha "Academics" alafu utaingia "faculties" alafu utaona unachohitaji kuhusu masters degree yako, kwa maelezo zaidi kama upo Dar Es Salaam fika Kinondoni Biafra/Kanisani alafu utafika ofisi za Post Graduate kwa ufafanuzi wa bei na nk. Ila kwa ufahamu wangu kama unasomea science itakuwa juu kiasi kuliko mambo mengine tofauti.Nitajie masters mnazotoa hapo kwenu na ada zake