mie kabila la kibarbagi we acha tu karudi kwao nachanganyikiwa.........ila ni roho ya ''Paka' hawa kwa uvumilivu......Nimetokea kumpenda binti mmoja wa kiiraq kutoka manyara kule juu wanapaita bashnati kiukweli nimempenda so kama kuna mtu ana jua tabia zao na ishu nyinginezo anijuze kabla sijafanya maamuzi.
daaah we kweli unawajua vizurinimekaa nao hawa viumbe...very beautiful and sexy but kugawa k ni kawaida sana.yaani anaweza akampa hata ndugu yako.mchunguze kama hana mtoto,majority wamezaa utotoni
Nimetokea kumpenda binti mmoja wa kiiraq kutoka manyara kule juu wanapaita bashnati kiukweli nimempenda so kama kuna mtu ana jua tabia zao na ishu nyinginezo anijuze kabla sijafanya maamuzi.
ndugu yangu ukioa muiraq, mrangi, mmburu, na muhaya, ujue umejiweka kwenye mateso mazito. ni heri ukaoe mchaga
Preta hapo umempa jibu la uhakika. Au aje huko Yaeda Chini kwa Wahadzabe.chukua mtoto wewe.....tabia kila mtu ana yake.......
ukishikwa, shikamana.Nimetokea kumpenda binti mmoja wa kiiraq kutoka manyara kule juu wanapaita bashnati kiukweli nimempenda so kama kuna mtu ana jua tabia zao na ishu nyinginezo anijuze kabla sijafanya maamuzi.
Why?Mwanamke wakiiraq hata nikipewa bure na kuongezewa milioni tano bure sioi .ukio wale umeoa pressure ndani