Recent content by ishi

  1. I

    Tujikumbushe mboga zetu za asili: Naanza mimi na wewe taja za kwenu.

    Nyamidela nyamusa nyausako nyangeresa nyamahearage
  2. I

    nimefumania

    Forgive your wife andd God will bless your life. Hakuna mwanadamu asiyetenda kosa na la msingi angalia wapi ulikuwa humtendei haki rekebisha na kubwa sana umridhishe mkeo.
  3. I

    nimefumania

    Follow your heart. maana umeshasema huwezi ishi bila yeye so chukua hatua ya kusamehe naamini hata yeye atakuwa amejifunza kitu na kama kuna mahali ulikuwa humtendei haki akatoka rekebisha. Mungu atawasimamia maana mara zote anapenda mapatano. Kusamehe hakuna ukomo na haijalishi aina ya kosa...
  4. I

    Maandamano ya waislam

    Ushauri wa bure; Jitahidini kuwa na subira, hapo mnataka kutengeneza sababu ya kwamba mnaonewa maana kama mmeambiwa masuala yote yanashughulikiwa mnatafuta nini hapo kama sio kutengeneza issue. Je na wakristu wakiamua kuandamana kwa yale mlofanya kitaeleweka kitu hapo kweli? si itakuwa nchi ya...
  5. I

    Mzee Falijara: Walimu ni watu wadogo sana katika Nchi

    He is just suffering from narrow mindedness, maana angekuwa na upeo wa kutosha asingethbutu kusema hayo na hawezi kuona umuhimu wa walimu kama hakwenda shule he is just empty headed
  6. I

    Hakuna malipo ya NSSF, PPF hadi umri wa kustaafu ufike!

    huyo anaeclaim ku urgue proffessionally atupishe hana jipya na proffession yake ya yeboyebo
  7. I

    Hakuna malipo ya NSSF, PPF hadi umri wa kustaafu ufike!

    Yaani kama kuna mahali watanzania tunatakiwa kusema yatosha ni pamoja na hili jambo. Wamelipitisha kinyemela bila kutushirikisha walijua halikubaliki. Nimemsikiliza mkurugenzi na huyo asifa uhusiano wakizungumza clouds hawana jipya wanayoyazungumza hakuna asiyeyajua na ni politics tu za...
  8. I

    UHALISIA: Kilichomtokea Dr. Ulimboka mwanzo-mwisho...

    Swali lako Georgeallen lina maanisha nini
  9. I

    Kwa nini JK amezunguzungumzia Mgomo wa Madaktari?

    hapo sasa Watanzania tunaburutwa tu
  10. I

    Serikali yakwaa kisiki Hospitali binafsi!

    hapo serikali inajifunza nini? acheni ubabe hausaidii manumiza wananchi
  11. I

    Taarifa kwa madaktari wote nchini

    mnaoshabikia uamuzi wa serikali tumieni akili na muwe mna analytical mind hivi unadhani hata wakiamua kurudi kazini hawajaridhika wakawapa dawa zisizofaa mtakuwa mmetatua nini. Cha msingi wakae mezani wakubaliane hata kama hawawezi kutoa kuwango hicho kwana hao madaktari ni nunda kiasi cha kutoelewa
  12. I

    Jamani nisaidieni sielewi hiki kinachonitokea kitandani

    Aende kwa daktari akapate ushauri zaidi
Back
Top Bottom