Taarifa kwa madaktari wote nchini

Taarifa kwa madaktari wote nchini

Hawana cv za kutosha hawa ndio maana wanang'ang'ania kuwatesa wagonjwa wetu. Kwanza nje huko ukiulizwa kwanini umeacha kazi Tanzania, ukisema "nilikuwa kwenye mgomo", hupewi kazi.
Madaktari wa Kitanzania wenye CV zao za maana wako nje kibao, wako hapa kwenye mashirika ya nje wanakula mifweza sio ya kawaida. Hawa ni wajivuni wachache wanaodanganywa na vikundi vya kijinga. Kwa umbumbumbu wao na wao wanakubali tu kama misukule. Haya endeleeni na mgomo.
zomba, zomba, zomba...hakuna cha ajabu madaktari kugoma;
1. Some 15,000 doctors across Germany are staging a walkout to press for higher pay and better working conditions, a union said on Monday.Doctors at about 200 public clinics in most German states were on strike and 4,000 gathered for a protest in Munich, the Marburger Bund union said in a statement. The walkout is scheduled to last all week, but the union stressed it could continue indefinitely if the towns and cities running the clinics don’t make a better offer.
 
kwisha habari yenu... na mlishazoea kutumia muda wa serilkali kufanya kazi zenu private hosp. big up JK kama hutaki nemda private

Subiri uone,lijalo kubwa kuliko hili
 
Mhh..masikini hawa madaktari nawahurumia sana,hasa wale wenye family.
 
Hawana cv za kutosha hawa ndio maana wanang'ang'ania kuwatesa wagonjwa wetu. Kwanza nje huko ukiulizwa kwanini umeacha kazi Tanzania, ukisema "nilikuwa kwenye mgomo", hupewi kazi.

Madaktari wa Kitanzania wenye CV zao za maana wako nje kibao, wako hapa kwenye mashirika ya nje wanakula mifweza sio ya kawaida. Hawa ni wajivuni wachache wanaodanganywa na vikundi vya kijinga. Kwa umbumbumbu wao na wao wanakubali tu kama misukule.

Haya endeleeni na mgomo.

Zomba ndiye ACP Msangi shemeji yake na Said Mwema na Rafiki wa Abeid naye huyu ni kutoka Ugweno!
 
nyie madaktari ni wezi wakubwa wa madawa mahospitali na bado ni wezi wakubwa wa muda serikali.nyie ni mafisadi wakubwa na sasa Kikwete hataki tena ujinga wenu.hicho kikao ni choo tu,rudini kazini au nendeni mnakotaka,nyambaf zenu.watu wanakufa ovyo ovyo wakati nyie mnakula kodi zao,wanyama wakubwa nyie
Walau walishatoa huduma kipindi fulani naye JK na washirika wake watakoendelea kula kodi za waTZ kwa maisha yote!!!! Watume nao waende kwa nyambaf wako
 
Jamaaaa ana conflict na madocter kisa mgomo wa kwanza mke wake alifariki
 
Taarifa kwa Madaktari wote nchini,


Kamati ya Jumuiya ya madaktari Tanzania inapenda kuwaalika madaktari wote nchini kuhudhuria mkutano mkubwa wa madaktari utakao fanyika siku ya Jumanne tarehe 03/07/2012 kuanzia saa mbili asubuhi katika ukumbi utakaotangazwa baadaye.


Imetolewa na Kamati ya Jumuiya ya Madaktari.

wanataka kurudi nyuma kwa kuogopa mkwara wa MR.DHAIFU? itakuwa aibu kubwa sana kwa madaktari!!
 
Hiyo msg ya Dr. Ulimboka ni nzito sana. Hivi wewe uliyehusika wakati unaisoma umejisikiaje? Nijibu tu na Mungu wa mbinguni atakusamehe.
 
Hawana cv za kutosha hawa ndio maana wanang'ang'ania kuwatesa wagonjwa wetu. Kwanza nje huko ukiulizwa kwanini umeacha kazi Tanzania, ukisema "nilikuwa kwenye mgomo", hupewi kazi.

Madaktari wa Kitanzania wenye CV zao za maana wako nje kibao, wako hapa kwenye mashirika ya nje wanakula mifweza sio ya kawaida. Hawa ni wajivuni wachache wanaodanganywa na vikundi vya kijinga. Kwa umbumbumbu wao na wao wanakubali tu kama misukule.

Haya endeleeni na mgomo.

Utakuwa una matatizo makubwa sana katika kufikiri
 
Dr. Wakirudi kazini watakuwa wamejimaliza na jitihada zao zote utakuwa ni ubatili mtupu. Jinsi jk alivokuwa akiongea kwa kigugumizi haamini ktk alilosema. Fanyeni mass resgnation its now or never!

Umenena mkuu
 
mnaoshabikia uamuzi wa serikali tumieni akili na muwe mna analytical mind hivi unadhani hata wakiamua kurudi kazini hawajaridhika wakawapa dawa zisizofaa mtakuwa mmetatua nini. Cha msingi wakae mezani wakubaliane hata kama hawawezi kutoa kuwango hicho kwana hao madaktari ni nunda kiasi cha kutoelewa
 
JK hapo umenena. Kama hawataki wapishe hamna kuchekeana na watu Kama hawa
 
Kaza buti, kaza kamba, na hakuna kusalim amri, nchi yetu wote hii.
Umenikumbusha Havizya, Msemo huu ndio walikuwa wakiuutumuia Madaktari wanajeshi waliopelekwa kipindi kile Muhimbili kuokoa Jahazi. Kila wakikutana na madaktari wenzao kwenye makorido walikuwa wanawapa msisitizo huo.
 
Wale madr. Waungwana Chapeni Kazi muwatibu Watz wenzenu waachane hao wanaotapatapa kwa kuitana Kwenye vikao. Mfa maji haachi kutapatapa
 
Miongoni mwa wafanyakazi wa umma walionufaika na hatua hizo za Serikali ni madaktari na watumishi wa kada nyingine za huduma ya afya. Tena nadiriki kusema madaktari tumewapa upendeleo mkubwa kuliko watumishi wengine wa umma. Upendeleo upo kwenye mafunzo ambapo wanafunzi wa udaktari wanagharimiwa na Serikali kwa asilimia mia moja wakati wanafunzi wenzao wa taaluma nyingine hawako hivyo.

Acha kukurupuka wewe, angalia loan board kuna list ya watu wanaodaiwa mikopo toka MUCHS/MUHAS. mkopo unakatwa kama kawaida. fanya utafiti au uliza kabla ya kuandika
 
Hata pale tunisia ilibidi kijana ajitoe muhanga kwa kujichoma moto ndipo vuguvugu la kujikomboa kwa haki zikaanza.nitafurahi iwapo ulimboka atalianzisha hapa tanzania.mie ni dakitari fulldose nipo nanyi.7kwani matokeo ya dhambi ,adhabu hujumuika.kuweni kama mizimu msiogope binadamu kwani mmeshavalishwa ushetani ndo maana wanawatoa kucha bila ganzi
 
Back
Top Bottom